JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

jeshi la kujenga taifa la tanzania (JKT) limekamilisha kujenga ukuta unao zunguka machimbo ya mirerani yanako chimbwa madini ya tanzanite, nyuma ya mda waliopewa na rais.

nadhani hii inawapa picha kamili kuhusu, nidhamu, bidii, ushupavu, uimara na ukakamavu wa majeshi ya tanzania katika kutimiza majukumu yao ya kijeshi.

nataka kufahamu, ni jukumu gani la kijeshi au kijamii, jeshi la kenya (KDF) iliwahi kulikamilisha nyuma ya mda iliowahi kupewa. nimeuliza tu kiroho safi.

majirani na watz wasioitakia mema tanzania, ruksa kutoa povu.[emoji23]
7a8e20d679b031860aa24df7e5e7ea1f.jpg

fcb0859d978636a1182f3404652a2d77.jpg
6397bd690f92c75283dc4ecd49383209.jpg
Mimi ni mtanzania ila wewe kichwa hujielewi
 
unafaa kuwa unajiambia wewe pole...elimu yako pengine ni ndogo sana
nakuacha na definition ya wall toka wekipedia

wall
a thing regarded as a protective or restrictive barrier.
Definition yako ipo narrow sana..inawezekana imewekwa na Nyangau huko wikipedia
 
Ukuta wa kuwazuia fukara wa TZ kuona na kujua kinachoendelea katika migodi ya Tanzanite...Hahahahahahaha and the mines will be sold to the highest bidder.
 
Mimi ni mtanzania ila wewe kichwa hujielewi
your words reflect your jf ID.
thank you very much mr. "lunatic".you are most welcome. [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
umecatch mafeelings msee...hivi unategemea kila mkenya wa jf lazima mawazo yake yawe sawa na wakenya wengine.

acheni mtu a- express opinion zake vile anavyojisikia.
Hawa wajinga wa jubilee watatolewa mamlakani na Wakikuyu wenyewe. Na mpogeza JPM kwa kuwanyinya mabwenyenye wa Kenya soko la TZ, Huku akiwavuta Museven na kagame wafanye hivi pia. Hii miradi yao ya kifisadi kama SGR ambayo amekopa pesa huku wakipiga deals za 10% itakosa soko EAC, Isabaratike pamoja na serikali yao ya ukabila na uchawi. Hongera JPM washike mak*nde hivyo hivyo
 
Screenshot_20180217_171240.png
IMG_20180217_171633.JPG
unafaa kuwa unajiambia wewe pole...elimu yako pengine ni ndogo sana
nakuacha na definition ya wall toka wekipedia

wall
a thing regarded as a protective or restrictive barrier.
Soma hiyo uelimike..then kama hujaelewa uliza tena.
 
KDF walipewa kazi ya kuondoa wale vibaka westgate wakaishia kuiba karanga na mikate
Ile intelligence ya Danganyika ilishindwa kuwazuia wezi wa Kuku pale ikulu yenu na pia kituo cha Polisi mji mkuu CBD ya Dar-es-saalam... Hii sijawahi ona mkipost hapa JF hebu tuelezee zaidi kuhusu huu ulimbukeni wa Tanzania.
 
Hawa wajinga wa jubilee watatolewa mamlakani na Wakikuyu wenyewe. Na mpogeza JPM kwa kuwanyinya mabwenyenye wa Kenya soko la TZ, Huku akiwavuta Museven na kagame wafanye hivi pia. Hii miradi yao ya kifisadi kama SGR ambayo amekopa pesa huku wakipiga deals za 10% itakosa soko EAC, Isabaratike pamoja na serikali yao ya ukabila na uchawi. Hongera JPM washike mak*nde hivyo hivyo
buda itabidi tukuwekee ulinzi wa kutosha.

maneno yako hayawafurahishi baadhi ya wakenya wa jf. watafanya kila mbinu ili wakupoteze.

hawakutegemea kukutana na mkenya aliye tofauti na opinion zao.ulinzi muhimu buda.
 
Bravo Tanzania. Nadhani kwa mafanikio hayo ninauhakika tukiamua tunaweza kujenga ukuta kati ya Kenya na Tanzania ili kuzuia wahamiaji haramu toka kenya na wale wanaoleta vifaranga vyenye mafua ya ndege toka kenya.
 
Bravo Tanzania. Nadhani kwa mafanikio hayo ninauhakika tukiamua tunaweza kujenga ukuta kati ya Kenya na Tanzania ili kuzuia wahamiaji haramu toka kenya na wale wanaoleta vifaranga vyenye mafua ya ndege toka kenya.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Bravo Tanzania. Nadhani kwa mafanikio hayo ninauhakika tukiamua tunaweza kujenga ukuta kati ya Kenya na Tanzania ili kuzuia wahamiaji haramu toka kenya na wale wanaoleta vifaranga vyenye mafua ya ndege toka kenya.
Naunga mkonyo hoja..wakenya tumewashika pabaya..sasa hivi wamekimbilia kuchochea mgogoro wa Tanganyika na Bara
 
Ahead of schedule sio nyuma ya muda. Ni mbele au kabla ya muda.
unauliza tukusaidie au unauliza tukupe jibu ili ulete ubishani?.

achana na hiyo screenshot ya twitter ya "ahead of schedule". jiongeze kwa kusoma hizi screenshot zingine.

najua kingereza sio lugha yetu...ila utaelewa ndg yangu.
a2c63319f36069143432713dcd828e1d.jpg
1e0ede0537fb0d5ada818625ddafa07c.jpg
 
unauliza tukusaidie au unauliza tukupe jibu ili ulete ubishani?.

achana na hiyo screenshot ya twitter ya "ahead of schedule". jiongeze kwa kusoma hizi screenshot zingine.

najua kingereza sio lugha yetu...ila utaelewa ndg yangu.
a2c63319f36069143432713dcd828e1d.jpg
1e0ede0537fb0d5ada818625ddafa07c.jpg
Sio swali hilo, ni maelezo. Nimeyatoa baada ya kusoma headline uliyoiweka na habari yenyewe viko tofauti.
Tunajifunza pamoja, tutafika tu. Ila ahead of schedule ni kabla au mbele ya muda uliokadiriwa.
 
sawa ila punguza hasira.
huo ugaidi kdf imeanza kupambana nao tangu lini?.... je ugaidi kenya umeisha?. alshabab wameisha?.

usijibu kwa hasira tafadhali.
ha ha ha kakuwekea picha kuwa israel wanawasaidia kenya kujenga ukuta
 
JPM aendelee hivyo hivyo nakama inawezekana hawa wakora wa Jubilee wanyimwe soko lote la EAC. TZ mfanye hima kuimarisha port zenu ili Iwe attractive for uganda, SouthSudan and Rwanda. Hiyo port ya fisadi uhuru na ruto hapo Lamu iwe Tembo nyeupe. Mchina akokaribu sana kuitisha hela zake zamkopo na akiitisha, Jubilee kwisha.uhuru na ruto watabaki na erect penis ila hakuna wakut*mba EAC. Wakikuyu wenyewe watawatoa mamlakani ndio iwe funzo kwao kwaba ubepari haulipi
 
Boss kwanini unaumwa? ukohapa umeandikwa kazi na itumbi 527/- kumwaga uongo tupu. Eeh mimi ni mkenya na kwetu ni muranga. Ama unataka niongee greek? Mūguthicwo ni thirikari ino yanyu mugìkuyu nginya mugie mitwe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wewe jamaa unanikosha sana, siku ukipanga kuja Dar nitafute tubadilishane mawazo.
 
Sio swali hilo, ni maelezo. Nimeyatoa baada ya kusoma headline uliyoiweka na habari yenyewe viko tofauti.
Tunajifunza pamoja, tutafika tu. Ila ahead of schedule ni kabla au mbele ya muda uliokadiriwa.
kaka
ndio maana awali niliuliza, unauliza ili wanaojua kingereza wakusaidie au unauliza ili ukipewa jibu ulete ubishani?.

hivi unategemea wakenya wangegundua kama kuna makosa ya kiuandishi au tafsiri katika "ahead of schedule" wangekaa kimya?.

kumbuka wao ndio wanaji-regard kukimudu kingereza kuliko watu wa nchi zingine za EA. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

ukiona mpaka sasa hawajahoji kuhusu "ahead of schedule" jua ujumbe wameuelewa kama ilivyokusudiwa.

by the way, how would you translate "ahead of schedule" into swahili?.
 
Back
Top Bottom