JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa


KISUMU.....Amazing
 
It means that it has the largest seating capacity.
Hiyo haina maana kwamba hizo viti zote hujazwa wakati wa michezo. Hivyo hivyo Airport, OT Airport in South Africa is the biggest in Afrika, its capacity is 20M pxs per year, hiyo haina maana kwamba kila mwaka inapokea hao abiria, kuna mwaka inapokea chini ya idadi hiyo, na kuna mwaka inapokea zaidi ya idadi hiyo, ila uwezo wake wa kuhudumia ni 20M passengers kwa mwaka, huo ndio ukubwa wa OT Airport
 
Mjinga mbwa wa kuiba mayai, See now how stupid Danganyikans are. You are merely confirming that fact you bitchy homosexual
Kwanini unapandisha hasira, kwani hamuwatafuni Jaluo?, hakuna sababu ya kupandisha hasira, kama hujawahi kula nyama ya Jaluo, wewe sema tutakuelewa.
 
Acha kupaparika, soma post #31 katika huu Uzi, umeshawekewa orodha ya VIWANJA vya ndege vya Afrika na uwezo wao(capacity), acha kuokoteza data barabarani.
1)JNIA 1.....500,000 pxs
2)JNIA 2.....2,500,000 pxs
3)JNIA 3......6,000,000 pxs
Total. 9,000,000, pxs
 
Kwanini unapandisha hasira, kwani hamuwatafuni Jaluo?, hakuna sababu ya kupandisha hasira, kama hujawahi kula nyama ya Jaluo, wewe sema tutakuelewa.

Tihahahhaaaaa, Mimi nikasirike juu ya Mashetani Midanganyika kama wewe. Si unagemea tu. We don't do such satanic acts like you do. Msituambukize cultism ya Wadangagiza
 

Wewe hausaidiki. You are just a fool
 
Hii ni kwa mujibu wa "survey " iliyofanywa baada ya kuhojiwa wasafiri na mashirika ya ndege kadhaa yanayotumia viwanja vya Afrika.Tanzania hoyeeeeee!

Sidani kama ni kweli Hivi kweli kwa East and Central inazidi JKIA, au Addis Ababa? Je Kwa Africa ni ya ngapi katika viwanja hivi: Oliver Tambo International Airport, Cairo International Airport , Cape Town International Airport, Cape Town, South Africa , King Shaka International Airport, Durban, South Africa , Sharm El-Sheikh international airport , Hurghada International Airport , Mohammed V International Airport , Murtala Mohammed International Airport, Port Elizabeth International Airport?
 
Tihahahhaaaaa, Mimi nikasirike juu ya Mashetani Midanganyika kama wewe. Si unagemea tu. We don't do such satanic acts like you do. Msituambukize cultism ya Wadangagiza
Hao wajaluo mnaowapiga risasi kwa mamia kila kipindi cha uchaguzi, nyama mnapeleka wapi?
 
Kwanini hamtaki kusoma Uzi mkauelewa vizuri, hapo pametumika vigezo viwili, "Capacity & Modernity", wastani wake ndio ni namba 3, kwa ukubwa ni namba 5, kwa modernity, ambayo inahusisha mitambo na technologia ya kisasa ni namba 2, wastani baada ya kuchanganya yote hayo ni 3.

Mnashangaa JNIA kuwa namba 3 Afrika, sasa subirini SGR itashika namba moja Afrika, japo kwa kasi utakuwa nyuma ya Morroco, lakini Technology inayotumia hapa Tanzania ni the best in the Continent, " It is full remote controlled train" hakuna hiyo technology hapa Afrika kwa sasa.
 
Namba one na two ni akina nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Please wacha kufikiria na makario ati JNIA imeisdhinda JKiA kwa revenue????hivi kichwa yako imejaa uji
 
Please wacha kufikiria na makario ati JNIA imeisdhinda JKiA kwa revenue????hivi kichwa yako imejaa uji
Hahahaha, hiyo ni dalili ya kutapatapa. Uzi unasema "JNIA is 3rd biggest and most Modern airport in Africa". Tafadhali tujikite katika hivyo vigezo viwili,
1)Biggest in terms of capacity
2)Modern in terms of technology and Equipment's
Msitoke nje ya mada na kuingiza idadi ya abiria au mashirika ya ndege yanayotumia uwanja.
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Namba one na two ni akina nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
 
Wewe huwatambui sauti soul, wale jamaa wanajielewa na wa ungwana sana...hata wanapohojiwa pia hujishusha chini kabisa ki hadhi...

Unajua maana ya neno "kinaya"
"Wanajielewa" ndio maana wakasifia,
Mbona wasisifie hilo gofu lenu?
Hapo umesikia wakisema mbona wakenya msijenge Airport nzuri kama hiyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Quote zingine zikupite tu maana unazidi kujiaibisha kutokana na wivu na chuki.
 
Wakijua simulator moja hii ni pesa mingi kuliko Bombadier yao, watarudi kichakani kulia.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Tunayo simulator teyari (Tsh1.8B) na marubani wengi wa nchi kama Nigeria, Rwanda, Burundi, Botwsana, Uganda, Namibia na Guinea wamekuwa wakija kujifunzia Tz. Na sasa hivi tunajenga kituo kikubwa anga Afrika nzima kwenye eneo la hekari 14.
 

Terminal moja ndio inafanya mdhani mna infrastructure bora. You should make a point of leaving your country.
JKIA bila hata terminal mpya, iko na building density mara nne ya JNIA.
It is busy, hectic, and huge.

JKIA is the hub of the region. Airlines make money here because there are more people coming to Kenya. The convergence of all these airlines, make it busy.. new terminal or not.
In fact, our greenfield terminal was shelved because we have not still reached capacity with our current terminals.
Any new one would have been an overkill.

Your new terminal will likely reach capacity in 2050. So nothing to brag about.

20 years from now, you can bet JKIA will still handle double the traffic of JNIA.
 
Wewe huwatambui sauti soul, wale jamaa wanajielewa na wa ungwana sana...hata wanapohojiwa pia hujishusha chini kabisa ki hadhi...

Unajua maana ya neno "kinaya"
Hahahaha, mbona hawajawahi kusema hivyo walipokuwa wanatumia "terminal 2?, kwahiyo wewe ndiye unayetafsiri yaliyo katika akili zao?. Hawa jamaa wapo very honest, waliyosema ni kutoka moyoni mwao, hata wewe ukitua JNIA utachanganyikiwa. " it is nearly $400M Airport project ", sio michezo. Ninyi mlihitaji $600M kujenga Green field terminal ambayo ingekua na capacity ya 20M paxs, japo mlikosa pesa.
 
Ila JKIA noma.... KQ wana lounge zao moja ile Pride Lounge ni hatari fire kibongo bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…