JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa

JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa

Huna chama wakati unawaita wenzio PINGAPINGA FC!
Ndio sina chama, huwa nasikiliza sera zinazofaa tu,
Ni pinga pinga FC kwa sababu kazi yao huwa ni kupinga na kulaumu, kulalamika Jan Dec
 
Acha longo longo mataga. Weka source ya taarifa yako. It doesn't matter the method; leta source.
Btw: naona theme imebadilika sasa toka "largest" hadi kuwa "modern"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaumwa" mavi" wewe, soma Uzi umetaja maeneo mawili, " Biggest & most modern", nenda ukanye kwanza ndio urudi tuzungumze.
 
And your English is still below sea level..... That's why you Tanzanians including your president can't attempt to go to world's major conferences........... Tutacheka tu
We don't need it the way you do, because " Kenya not yet Uhuru".
 
Utatukana sana leo.
Weka source ya information. Otherwise you are FAT BIG LIAR kama mungu wenu jiwe.
Nilitaka kwanza kukuonyesha jinsi usivyokua makini, eti nimehamisha mada toka " Biggest" kwenda "Modern". Kwanza kiri kwamba wewe ni zezeta, kisha nitakuwekea " Source".
 
Huna akili wewe, nenda kaliwe uroda na wajinga wenzako, kichwa cha habari kinasema " is the third largest and most modern airport", wewe unaleta orodha ya "busiest airports".

Hivi unajua kwamba uwanja wa mpira wa "Soccer city" kule Afrika kusini " is the biggest in Africa" lakini sio unaopata watu wengi ukilinganisha na viwanja vya Nigeria na hiki cha Tanzania kutokana na watanzania na wanigeria kupenda mpira?

Unajua kwamba " Modernity" ya uwanja wa ndege ni kigezo kinachotokana na vifaa na technology iliyotumika na wala sio kutokana na wingi wa ndege zilizopita au idadi ya watu waliopita?
Ya kwanza na ya pili ni zipi
 
Sindano imewaingia, tunazungumzia vigezo viwili hapa," capacity and modernity" kwa pamoja.
1)Interm of Capacity, JNIA is 5th in Africa
2)Interms of modernity is the 2nd in Africa
3)Overall position is 3rd in Africa.

Umeelewa?
Tuletee hzo ranking kutoka kiwanja cha kwanza
 
Back
Top Bottom