JNIA is the alternative airport for all Emirate Airlines in Sub sahara Africa.

Waziri amesema kutua 380 jana ni maendeleo chanya.
Wakati emergency landing kama hakuna alternative unatua hata baharini au barabara ya magari
JKIA ikitokea sikuhiyo wakenya hawafanyi KaziπŸ˜€πŸ˜€
 
Emirates na Etihad wote wanaoperate hadi Eldoret na sijawai kuskia wakenya wakijigamba hapa. Enyewe Tanzania munafurahia kuona maendeleo ndogo ndogo ambapo ni vyema. Lakini kubrag to Kenyans about somethings inatia aibu tu.
 
Sasa inatua S.Africa tu na ilikuwa inaenda Mauritius sasa huko ni Ulaya?
 
Now that's how Tanzanians reason, enyewe, you're Tanzanians,,,,,
 
Wewe fala kweli yani unampinga alafu unataka mtu akujuzeπŸ˜€πŸ˜€ Wewe twambie ni nchi gani nyingine ya sub sahara Africa inatua zaidi ya South Africa. Unapo pinga inabidi uwe na evidenceπŸ˜€ Sio unaandika tuπŸ˜€πŸ˜€
Sasa Mauritus ni europe? ndege ilikuwa inaenda Mauritius sasa sio sub sahara Africa.
 
embu tulia huko. tusipangiane cha kupost au kukomenti.
kapimwe na makonda kwanza
Makonda katoka wapi hapaπŸ˜€πŸ˜€ Bahati mbaya mimi sio mwanasiasaπŸ˜€πŸ˜€ Jukwa la siasa linakufa zaidiπŸ˜€πŸ˜€
 
Emirates na Etihad wote wanaoperate hadi Eldoret na sijawai kuskia wakenya wakijigamba hapa. Enyewe Tanzania munafurahia kuona maendeleo ndogo ndogo ambapo ni vyema. Lakini kubrag to Kenyans about somethings inatia aibu tu.
Kwani umeambiwa Zanzibar na Kilimanjaro hawafiki ? πŸ˜€
 
Sasa inatua S.Africa tu na ilikuwa inaenda Mauritius sasa huko ni Ulaya?
Mauritius iko ndani ya sub sahara Africa but nikama Arab state ! Hawako kwenye mainland ya Africa πŸ˜€πŸ˜€ It seems geography ulizungushaπŸ˜€πŸ˜€
 
Now that's how Tanzanians reason, enyewe, you're Tanzanians,,,,,
Naona mapigo yako ya moyo yamebadilika ghafla ! πŸ˜€πŸ˜€ Hatuna lakuwasaidia. Bakini watazamaji tu ! πŸ˜€πŸ˜€
 
Ilikua imeshafika Mauritius, the nearest airport ni Reunion, Madagasca airports, South Africa, Mozambique, na Swarziland, lakini walikuja Tanzania which is about 3000km away from Mauritius
Hawa jamaa wametoa sana povu just because of the A 380
 
Mauritius iko ndani ya sub sahara Africa but nikama Arab state ! Hawako kwenye mainland ya Africa πŸ˜€πŸ˜€ It seems geography ulizungushaπŸ˜€πŸ˜€
Tumebadilisha tone tena, sio sub sahara tena ni mainland. Mauritius kama arab state?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…