Bado siku 16 ujue.
Bado siku 16 ujue.
Ndiyo bado 16 baada ya hapo hesabu siku 360 za Kenya kuseshwa namba .....kila goti litapigwa Kwa tzBado siku 16 ujue.
Kuna terminal 3 huo mpya tumeupa majukumu tofauti ndiyo maana kunamkenya alishangaa kwanini uwanja hakuna habiria ,sasa ndege nyingi za masafa mafupi zinatumia terminal 2 na ndege nyingine terminal 1
Ndiyo bado 16 baada ya hapo hesabu siku 360 za Kenya kuseshwa namba .....kila goti litapigwa Kwa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto hapa. Afadhali ungesema Rwandan airport, wenye denge zinazo paa nchi nyingi ukilinganisha na za Tz., Nigeria na uchumi mkubwa bado hawana ubabe sembuse ldc Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
traffic in no: mtashindana na terminal 2......hiyo muiache kwanza mtaona matokeo soon
Uchumi wa Nigeria na Kenya ni sawa sawa na mwanamke mwenye mataako makubwa ila hana Akili ,ana waza wanaume waje wampatie hela Kwa sababu ya takoo wakati uchumi wa tz ni tofauti wa Nigeria karibu wote lagos 72% wanaishi Kwa slum mbovu sana ndiyo maana wanakimbia nchi yao na kuzagaa dunia nzima ,nikama Nairobi 68% wanaishi Kwa slumNdoto hapa. Afadhali ungesema Rwandan airport, wenye denge zinazo paa nchi nyingi ukilinganisha na za Tz., Nigeria na uchumi mkubwa bado hawana ubabe sembuse ldc Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi tu wakenya kibao wanakwenda India kupitia Tanzania na kuja kutibiwa magonjwa makubwa tz15 days to go...
Eti JKIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magu anavyoiogopa hyo route hatari
Sent using Jamii Forums mobile app