JNICC: Uapisho wa Mawakili Wapya 555 Tanzania Bara

JNICC: Uapisho wa Mawakili Wapya 555 Tanzania Bara

Abdul Said Naumanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2024
Posts
673
Reaction score
1,318
Leo, katika ukumbi wa JNICC uliopo Posta, Dar es Salaam, Tanzania, kuna tukio muhimu la kihistoria linalofanyika mara mbili kila mwaka. Tukio hili ni uapisho wa mawakili wapya 555 wa Tanzania bara, ambao ni hafla ya 70 ya aina yake. Uapisho huu utafanywa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali na Wakili Mkuu wa Serikali.

Tukio hili ni muhimu sana kwa sababu linawapa mawakili hawa wapya heshima na uhalali wa kisheria wa kufanya kazi zao kwa niaba ya jamii na nchi kwa ujumla. Pia, ni fursa ya kuadhimisha mafanikio yao na kujitolea kwao katika kutetea sheria na haki.


View: https://www.youtube.com/live/_8dX-Nfu2H8?si=zxjHSNDRu0B17Qus
 
Hongera Kwa Mawakili wapya hao 555 watakaoingia Mtaani kusaidia upatikanaji wa haki miongoni mwa Jamii.

Wajitahidi kupinga na kukataa Rushwa ili haki iweze kupatikana hasa Kwa Wananchi wanyonge.

Kila la heri kwao wote
 
Leo, katika ukumbi wa JNICC uliopo Posta, Dar es Salaam, Tanzania, kuna tukio muhimu la kihistoria linalofanyika mara mbili kila mwaka. Tukio hili ni uapisho wa mawakili wapya 555 wa Tanzania bara, ambao ni hafla ya 70 ya aina yake. Uapisho huu utafanywa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali na Wakili Mkuu wa Serikali.

Tukio hili ni muhimu sana kwa sababu linawapa mawakili hawa wapya heshima na uhalali wa kisheria wa kufanya kazi zao kwa niaba ya jamii na nchi kwa ujumla. Pia, ni fursa ya kuadhimisha mafanikio yao na kujitolea kwao katika kutetea sheria na haki.​
Gen- Z lawyers' Mawakili wa mwendo kasi.
Hawa ndio mawakili waliolalamikia mitihani ni migumu wakaletewa urahisi.
Hawa ndio mawakili waliopewa maksi kwa kuhudhuria tu darasani.
Hawa ndio mawakili wanaofanya group assignement badala ya individual!
Hao ndio walishinikiza walimu fulani waondolewe LST1
Hawa ndio mawakili Wanaogonga mkataba kwa elfu tano?
 
Leo, katika ukumbi wa JNICC uliopo Posta, Dar es Salaam, Tanzania, kuna tukio muhimu la kihistoria linalofanyika mara mbili kila mwaka. Tukio hili ni uapisho wa mawakili wapya 555 wa Tanzania bara, ambao ni hafla ya 70 ya aina yake. Uapisho huu utafanywa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali na Wakili Mkuu wa Serikali.

Tukio hili ni muhimu sana kwa sababu linawapa mawakili hawa wapya heshima na uhalali wa kisheria wa kufanya kazi zao kwa niaba ya jamii na nchi kwa ujumla. Pia, ni fursa ya kuadhimisha mafanikio yao na kujitolea kwao katika kutetea sheria na haki.​
Screen Shot 2024-07-03 at 10.06.54.png
 
Gen- Z lawyers' Mawakili wa mwendo kasi.
Hawa ndio mawakili waliolalamikia mitihani ni migumu wakaletewa urahisi.
Hawa ndio mawakili waliopewa maksi kwa kuhudhuria tu darasani.
Hawa ndio mawakili wanaofanya group assignement badala ya individual!
Hao ndio walishinikiza walimu fulani waondolewe LST1
Hawa ndio mawakili Wanaogonga mkataba kwa elfu tano?
🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom