Joash Onyango abwaga manyanga Simba adai kuna ubabaishaji mwingi

Dah! Wakati anasajiliwa huyu mwamba, mashabiki lialia walimpamba kweli kweli. Yaani kama ilivyokuwa tu kwa akina Okwah, Okrah, Mlete Mzungu, nk.
Wewe mbwiga unawashwa sana na mambo ya Simba njoo uolewe huku kabisa
 
Dah! Wakati anasajiliwa huyu mwamba, mashabiki lialia walimpamba kweli kweli. Yaani kama ilivyokuwa tu kwa akina Okwah, Okrah, Mlete Mzungu, nk.

Ila huyu jamaa bado ni mtu sana! Kama kaona fursa sehemu nyingine namtakia kila la heri ila mimi shabiki wa simba jamaa namkubali mno yani sana, pale nyuma akikaa na inonga, kapombe,tshabalala, ni habari nyingine
 
La Kakolanya aulizwe Try Again na 10% yake.
 
Kwani si tulishakubaliana mchezaji ukitaka kuondoka anaingiza pesa kwenye account ya klabu na kusepa?

Inakuwaje tena onyango anakaa mezani na uongozi wa Simba?
 
Dah! Wakati anasajiliwa huyu mwamba, mashabiki lialia walimpamba kweli kweli. Yaani kama ilivyokuwa tu kwa akina Okwah, Okrah, Mlete Mzungu, nk.
Kawaida tu mkuu kwa hivi vilabu vyetu vya kariakoo . Siyo Simba wala Yanga , Wote ni walewale. Nikikumbuka usajili wa KINDOKI, YIPE , SURPONG , SIBOMANA , BALINYA , URIKOBU , MOLINGA , ulivyokuwa na tambo hadi huwa ninachoka.
 
Kawaida tu mkuu kwa hivi vilabu vyetu vya kariakoo . Siyo Simba wala Yanga , Wote ni walewale. Nikikumbuka usajili wa KINDOKI, YIPE , SURPONG , SIBOMANA , BALINYA , URIKOBU , MOLINGA , ulivyokuwa na tambo hadi huwa ninachoka.
Enzi hizo unakuta Sarpong yuko yeye na golikipa tu! Basi utamsikia mtangazaji Baraka Mpenja "🗣️Sarpoooong!!! Kakosaaa!!!.

Dah! Kitambo sana.
 
Unaweza ukajiuliza tu kwa kiwango alichoonyesha hivi karibuni kuna haja ya kuendelea naye kama beki tegemeo? Jibu ni hapana.

aende zake aache lawama imetosha kadiri alivyofanya.
Wapi ametoa lawama?.alikua bado na mkataba na kaomba kuondoka.Mengine kasema ukweli kwasababu sisi hatuyajui zaid yakuwaona uwanjani.Hizi timu ukiwa nje huwez kujua yaliyoko ndani.
 
Bocco, Mkude, Nyoni wakiondoka hapo ni mwaka tu wanaanza uza madafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…