Joash Onyango kazeeka

Mkuu kwa mwanamichezo kuwa na sura kama ya huyo onyango mpe miaka 50+,Mimi si mwanamichezo niko 40+ nikitembea na onyango lazima waseme onyango ni baba au babu yangu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mmeanza uswahili wenu chura ninyi!Mzee anatia mimba hata akiwa na miaka 89.Hello utopwinge,how are you doing?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…