Job interview @ guest house

Job interview @ guest house

Ufualtilie nini sasa! Ya nini kujiumiza roho? pressure ya nini!! We kafanye tu ilimradi nisijue. Just do it and do it safely!
Nikijua, najiweka pembeni!


simaanishi ufuatilie ila ni jukumu lako kujua mkeo anaenda kufanya kazi sehemu ya namna gani
 
jamani si practical? tatizo liko wapi? huyo mume alikuwa anajua mkewe kaomba kazi gani? hiyo pressure kajipa mwenyewe tu.
 
mke kamuaga mumewe kuwa anaenda kwenye interview.
Mumewe akiwa kazini anapewa jukumu la kwenda kufanya booking ya hoteli kwa ajili ya wageni wa ofisi.
Akiwa hotelini hapo sehemu ya mapokezi, mara anatokea mkewe akiwa na njemba.
Mume alipo uliza kulikoni uko hapa muda huu badala ya kwenye interview kama ulivyo aga? Wife akajibu, interview ya asubuhi ilikuwa oral, huku nimekuja kwenye practical.
Hadi sasa mume yuko icu muhimbili kwa heart attack

watatutambua kwa matendo yao!!!
 
jamani mbona huyu mama mshamuhukumu labda alikuwa interview ni ya kazi ya hse keeping kwa kweli.....hivyo mume wake aambiwe asije kufa mtu
 
Wanawake wana sura nyingi.
Bila shaka mke wa mshikaji alikuwa anaonyesha tabia njema na uaminifu siku zote za ndoa.
Kumbe ni kicheche aliyekubuhu.
 
Mke kamuaga mumewe kuwa anaenda kwenye interview.
Mumewe akiwa kazini anapewa jukumu la kwenda kufanya booking ya hoteli kwa ajili ya wageni wa ofisi.
Akiwa hotelini hapo sehemu ya mapokezi, mara anatokea mkewe akiwa na njemba.
Mume alipo uliza kulikoni uko hapa muda huu badala ya kwenye interview kama ulivyo aga? Wife akajibu, interview ya asubuhi ilikuwa oral, huku nimekuja kwenye practical.
Hadi sasa mume yuko icu muhimbili kwa heart attack

Wasiliana na 20% akupe ushauri zaidi
 
Hadi utoke huko chumba mahututi unadhani jamaa bado atakuwa hapo hotelini na mkeo?
Mbona nishaachana na huyo demu mida tu. Sasa hivi najivinjari na toto nyingine kwenye interview ya saba.
 
Back
Top Bottom