bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
dah i nimeipenda............oral siyo???hahhahhaahhhahhaaaaa oral in deed!!!!!
upo wewe?, usinisahau kwenye lunch
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah i nimeipenda............oral siyo???hahhahhaahhhahhaaaaa oral in deed!!!!!
wanawake wengine uzinzi umewatawala hata waolewe hawaachi.
Ufualtilie nini sasa! Ya nini kujiumiza roho? pressure ya nini!! We kafanye tu ilimradi nisijue. Just do it and do it safely!
Nikijua, najiweka pembeni!
mke kamuaga mumewe kuwa anaenda kwenye interview.
Mumewe akiwa kazini anapewa jukumu la kwenda kufanya booking ya hoteli kwa ajili ya wageni wa ofisi.
Akiwa hotelini hapo sehemu ya mapokezi, mara anatokea mkewe akiwa na njemba.
Mume alipo uliza kulikoni uko hapa muda huu badala ya kwenye interview kama ulivyo aga? Wife akajibu, interview ya asubuhi ilikuwa oral, huku nimekuja kwenye practical.
Hadi sasa mume yuko icu muhimbili kwa heart attack
Mke kamuaga mumewe kuwa anaenda kwenye interview.
Mumewe akiwa kazini anapewa jukumu la kwenda kufanya booking ya hoteli kwa ajili ya wageni wa ofisi.
Akiwa hotelini hapo sehemu ya mapokezi, mara anatokea mkewe akiwa na njemba.
Mume alipo uliza kulikoni uko hapa muda huu badala ya kwenye interview kama ulivyo aga? Wife akajibu, interview ya asubuhi ilikuwa oral, huku nimekuja kwenye practical.
Hadi sasa mume yuko icu muhimbili kwa heart attack
hao huwa tunawaita chup mkononi!!!!!!
na wanaume wenye tabia kama hizo mnawaitaje??????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mbona nishaachana na huyo demu mida tu. Sasa hivi najivinjari na toto nyingine kwenye interview ya saba.Hadi utoke huko chumba mahututi unadhani jamaa bado atakuwa hapo hotelini na mkeo?