Job Ndugai aliachia kiti kwa ubashiri wake tu! Huyu aliyepo anashirikiana na wezi? Basi ang'olewe haraka sana!

Job Ndugai aliachia kiti kwa ubashiri wake tu! Huyu aliyepo anashirikiana na wezi? Basi ang'olewe haraka sana!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Nina imani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa!

Lakini pia, Karibu 90% ya wananchi hatuungi mkono hoja ya mh Sipika kuyapa miezi sita majambazi ya CCM

Kipindi cha aliyekuwa waziri mkuu ndugu Edward Ngoyai, kuliibuka suala la Richmond, suala hilo lilisitisha miswada yote iliyokuwa inaendelea kujadiliwa Bungeni na ili kujadiliwa wizi uliokuwa umeighubika nchi kipindi hiko

Mh sipika wa sasa, kwa nini anataka kuwafanya mafisadi wapoteze ushahidi?

Bunge kazi yake ni kuishauri na kuisimamia serikali! Serikali imeshaonyesha kukerwa na wizi uliotokea, kwa nini sipika haungi mkono kushughurikia huu wizi na upotevu wa mabilioni ya watanzania?

Kwa utaratibu upi sipika anaoutumia kuwapa miezi sita majizi hawa?

Wabunge, ihurumjeni nchi, pigeni kura ya kumwondoa huyu sipika
 
Jobo alitegemea mbususu kutoka kwa wadada kuja kustuka kaambiwa hao wanawake hawahitaji mwanaume. Wanajitosheleza wenyewe. Huku bado akishangaa wasamaria wakaandika barua kwa niaba yake. Signature na kila kitu Kisha wakaiwasilisha.
 
Zile za kumpongeza mhe rais hazijasubiri mpaka amalize muda wake wa uongozi 😂😂
Kwenye bunge hilohilo la bajeti nafasi ilipatikana.
 
Huyo mmbashiri hatufai maana alisema waz... Atake asitake tutaa.. muongezeaaaa, pia akatishia wabunge eti msipoipitisha budget ya serikali Rais atalivunja bunge 🤣🤣🤣bila kujua ukivunja bunge wote mnakua jobless even Rais!! Aliepo ni mmoja wa aliezuia ile trln 1.5 isijadiliwe bungeni kipind wapo wapinzani bungeni!!
 
Huyo mmbashiri hatufai maana alisema waz... Atake asitake tutaa.. muongezeaaaa, pia akatishia wabunge eti msipoipitisha budget ya serikali Rais atalivunja bunge 🤣🤣🤣bila kujua ukivunja bunge wote mnakua jobless even Rais!! Aliepo ni mmoja wa aliezuia ile trln 1.5 isijadiliwe bungeni kipind wapo wapinzani bungeni!!
Hukumbuki wewe, alibashiri kuuzwa kwa nchi kutokana na mikopo bhana
 
Ninaimani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa!

Lakini pia, Karibu 90% ya wananchi hatuungi mkono hoja ya mh Sipika kuyapa miezi sita majambazi ya CCM

Kipindi cha aliyekuwa waziri mkuu ndugu Edward Ngoyai, kuliibuka suala la Richmond, suala hilo lilisitisha miswada yote iliyokuwa inaendelea kujadiliwa Bungeni na ili kujadiliwa wizi uliokuwa umeighubika nchi kipindi hiko

Mh sipika wa sasa, kwa nini anataka kuwafanya mafisadi wapoteze ushahidi?

Bunge kazi yake ni kuishauri na kuisimamia serikali! Serikali imeshaonyesha kukerwa na wizi uliotokea, kwa nini sipika haungi mkono kushughurikia huu wizi na upotevu wa mabilioni ya watanzania?

Kwa utaratibu upi sipika anaoutumia kuwapa miezi sita majizi hawa?

Anamlinda mume wake ambaye yuko EWURA apate nafasi ya kuharibu taarifa za ushahidi kwani ni mmoja wa watuhumiwa wa ubadhirifu!
 
Wananchi hatuna Imani na Sipika! Wabunge mwondoeni sipika huyu hana nia njema na Taifa letu
 
Nina imani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa!

Lakini pia, Karibu 90% ya wananchi hatuungi mkono hoja ya mh Sipika kuyapa miezi sita majambazi ya CCM

Kipindi cha aliyekuwa waziri mkuu ndugu Edward Ngoyai, kuliibuka suala la Richmond, suala hilo lilisitisha miswada yote iliyokuwa inaendelea kujadiliwa Bungeni na ili kujadiliwa wizi uliokuwa umeighubika nchi kipindi hiko

Mh sipika wa sasa, kwa nini anataka kuwafanya mafisadi wapoteze ushahidi?

Bunge kazi yake ni kuishauri na kuisimamia serikali! Serikali imeshaonyesha kukerwa na wizi uliotokea, kwa nini sipika haungi mkono kushughurikia huu wizi na upotevu wa mabilioni ya watanzania?

Kwa utaratibu upi sipika anaoutumia kuwapa miezi sita majizi hawa?

Wabunge, ihurumjeni nchi, pigeni kura ya kumwondoa huyu sipika

Spika aondolewe haraka Sana.
 
Back
Top Bottom