nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Kuuzwa kwa raslimali (misitu), vyanzo vikuu vya mapato kama bandari, migodi, misitu, mashirika ya umma Kama mabenki, nk NDIKO KUUZA KWA NCHIUna uhakika kwa dunia ya sshv nchi inaweza kuuzwa
Watauza kila kitu hawa wajingaSpika aliyelazimishwa kustaafu kwa kusema ukweli au kutabiri yajayo akalazimishwa kustaafu chini ya mtutu wa Bunduki.
Haya bandari tushauza. Ngoja tukauze na shamba letu la Bagamoyo
Una uhakika kwa dunia ya sshv nchi inaweza kuuzwa
Hunting blocks zote huko msituni wameuziwa wazungu.Watauza kila kitu hawa wajinga
Alianza baba yake kuuza LoliondoHunting blocks zote huko msituni wameuziwa wazungu.
Ukitaka kumpata mwanamke kirahisi, wewe msifie tu. Kibra ileeee!Spika aliyelazimishwa kustaafu kwa kusema ukweli au kutabiri yajayo akalazimishwa kustaafu chini ya mtutu wa Bunduki.
Haya bandari tushauza. Ngoja tukauze na shamba letu la Bagamoyo
Kaka mbona jazba sgr bado tunaimudu hiyo sa100 hawezi kuiuza labda ndege maana kule hakuna faida kwa kujibu hoja za. S A GBaadae tunahamia airport, Kisha ATCL,tunamalizia na TRC
Nchi inanuka rushwa rushwa tupuHunting blocks zote huko msituni wameuziwa wazungu.