Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mbunge huyu tangu ajiuzulu uspika, amekuwa haonekani Bungeni na kama nitakuwa sahihi, hajaonekana hata mara moja.
Swali langu ni je, katika vikao via Bunge vinavyoendelea hivi, sasa, amehudhuria hata mara moja?
Kama hajahudhuria mpaka leo, hastahili kuvuliwa ubunge?
Kama alikwenda Israel, anashindwaje kuhudhuria vikao vya Bunge?
Waandishi wa habari, wasomi, wanarahakati na wanasiasa kwaa ujumla, mbona mko kimya juu ya hili?
Mwenye majibu tafadhali.
Swali langu ni je, katika vikao via Bunge vinavyoendelea hivi, sasa, amehudhuria hata mara moja?
Kama hajahudhuria mpaka leo, hastahili kuvuliwa ubunge?
Kama alikwenda Israel, anashindwaje kuhudhuria vikao vya Bunge?
Waandishi wa habari, wasomi, wanarahakati na wanasiasa kwaa ujumla, mbona mko kimya juu ya hili?
Mwenye majibu tafadhali.