Job Ndugai anahudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Dodoma?

Job Ndugai anahudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Dodoma?

wivu hausaidii na hafanywi kitu chochote kafuatilie idadi ya watoro wa mahudhurio ya bunge
 
Mbona Tundu Lisu hajiuzulu umakamu mwenyekiti wa Chadema?
Anaendesha shughuli za chama na majukumu yake kwa ufanisi, hata vikao anahuthuria, kwanini ajiuzulu.
Tena katika siku za usoni atakuwa anashiriki na kuonekana kwenye vikao live(HOLOGRAM) kwa hisani ya mitandao ya 5G. Shida iko wapi?
 
Kwa kuwatendea haki wana Kongwa, Ndugai angejiuzulu tu na uchaguzi mdogo ufanyike aje mwananchi mwingine atakaye watumikia wana Kongwa.

Kwa NDUGAI hata angekuwa mnafiki namna gani hawezi kuvumilia psychological humiliation ya kukaa viti vya wabunge na kuuliza maswali kwa mawaziri.

Ni bora hata angeomba kwa Rais Samia akawa Balozi kwa nchi zisizo na shughuli nyingi apumzikie huko
Kwani lazima aajiriwe? Ajiali mwenyewe na pesa alizoiba wakati akitibiwa India.
 
Back
Top Bottom