Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ni bora ajiuzulu tu ijulikane moja. Unaweza shangaa analipwa na mshahara na stahiki zingine zote za kibunge.Kwa kuwatendea haki wana Kongwa, Ndugai angejiuzulu tu na uchaguzi mdogo ufanyike aje mwananchi mwingine atakaye watumikia wana Kongwa.
Kwa NDUGAI hata angekuwa mnafiki namna gani hawezi kuvumilia psychological humiliation ya kukaa viti vya wabunge na kuuliza maswali kwa mawaziri.
Ni bora hata angeomba kwa Rais Samia akawa Balozi kwa nchi zisizo na shughuli nyingi apumzikie huko
Mbona Tundu Lisu hajiuzulu umakamu mwenyekiti wa Chadema?Ni bora ajiuzulu tu ijulikane moja. Unaweza shangaa analipwa na mshahara na stahiki zingine zote za kibunge.
Chama cha watu wa kulindana hawawezi fanya kitu kama hicho.Mkewe RAS Dodoma, yeye mbunge asiyehudhuria vikao ila mshahara na asali zote analamba.
Dawa ni kumvua ubunge na mkewe kumtumbua uRAS waje mtaani tujiajiri.
Nimeishia hapa kusoma, nikajua hauko sahihi.na kama nitakuwa sahihi, hajaonekana hata mara moja.
Discussing something important with an idiot is a waste of time.Mbona Tundu Lisu hajiuzulu umakamu mwenyekiti wa Chadema?
Kumbe wewe unahoji kuhusu Ndugai sababu ni hiyo?Lisu anakugongeaga mkeo nn?!
Ana mafao mengine kama spika mstaafu ni pesa ndefuMkewe RAS Dodoma, yeye mbunge asiyehudhuria vikao ila mshahara na asali zote analamba.
Dawa ni kumvua ubunge na mkewe kumtumbua uRAS waje mtaani tujiajiri.
Kutolewa uspika akiwa Spika ni fadhaa kwake.Mbunge huyu tangu ajiuzulu uspika, amekuwa haonekani Bungeni na kama nitakuwa sahihi, hajaonekana hata mara moja.
Swali langu ni je, katika vikao via Bunge vinavyoendelea hivi, sasa, amehudhuria hata mara moja?
Kama hajahudhuria mpaka leo, hastahili kuvuliwa ubunge?
Kama alikwenda Israel, anashindwaje kuhudhuria vikao vya Bunge?
Waandishi wa habari, wasomi, wanarahakati na wanasiasa kwaa ujumla, mbona mko kimya juu ya hili?
Mwenye majibu tafadhali.
Anakugonga Wewe manka!Lisu anakugongeaga mkeo nn?!