Job Ndugai anahudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Dodoma?

wivu hausaidii na hafanywi kitu chochote kafuatilie idadi ya watoro wa mahudhurio ya bunge
 
Mbona Tundu Lisu hajiuzulu umakamu mwenyekiti wa Chadema?
Anaendesha shughuli za chama na majukumu yake kwa ufanisi, hata vikao anahuthuria, kwanini ajiuzulu.
Tena katika siku za usoni atakuwa anashiriki na kuonekana kwenye vikao live(HOLOGRAM) kwa hisani ya mitandao ya 5G. Shida iko wapi?
 
Kwani lazima aajiriwe? Ajiali mwenyewe na pesa alizoiba wakati akitibiwa India.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…