Tetesi: Job Ndugai anajipanga kuliachia Jimbo la Kongwa kwa mkewe Bi. Fatma

Tetesi: Job Ndugai anajipanga kuliachia Jimbo la Kongwa kwa mkewe Bi. Fatma

DodomaTZ

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
84
Reaction score
118
Aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai anajipanga kumuachia jimbo la Kongwa mkewe Bi. Fatma Mganga ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma.

Ndugai ameanza kampeni na figisu hizi kwa kupanga safu ya viongozi wa CCM ambapo, amemlazimisha aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bwana Abed Mussa kugombea tena licha ya kutaka kustaafu nae baada ya kuwa mshirika mkubwa wa Ndugai katika matendo yake ya ubabe katika jimbo la Kongwa.

Sasa anawalazimisha na kuwatishia wana CCM wa Kongwa kuwa, lazima wamchague Abedi Mussa kuwa mwenyekiti na Julius Lipupuma kuwa Mwenezi wa CCM wilaya ya Kongwa ili waje kupitisha jina la mkewe Fatma Mganga kuwa mgombea ubunge jimbo la Kongwa 2025.

Pia ameuteka uchaguzi huu wa CCM wilaya kwa kuwalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kuwa na box la kupigia kura kila kata tofauti na walivyopanga wasimamizi wa uchaguzi kuwe na box mbili tu. Kwa sasa wanachama wa CCM Kongwa wanaendelea kushuhudia ubabe wa Ndugai kama ule wa mwaka 2015 ambapo alimtwanga mgombea mwenzie fimbo baada ya kuzidiwa sera.
 
Ccm ninkawaida yao. Wapo wengi waliowaachia wake ama watoto zao majimbo;-

Jakaya Kikwete..................mtoto
Samweli Sita (RIP).. ... mke.
Celina Kombani (RIP)........mtoto.
Dr. Abdallah Kigoda (RIP).....mtoto
Prof. Mgimwa (RIP).....mtoto
Njelu Kasaka (RIP) ........mtoto
Rashid awawa (RIP)........mtoto
Mizengo Pinda.......mdogo
Ngoyayi Lowasa. .....mtoto

Na wengine wengi....
 
Aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai anajipanga kumuachia jimbo la Kongwa mkewe Bi. Fatma Mganga ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma.

Ndugai ameanza kampeni na figisu hizi kwa kupanga safu ya viongozi wa CCM ambapo, amemlazimisha aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bwana Abed Mussa kugombea tena licha ya kutaka kustaafu nae baada ya kuwa mshirika mkubwa wa Ndugai katika matendo yake ya ubabe katika jimbo la Kongwa.

Sasa anawalazimisha na kuwatishia wana CCM wa Kongwa kuwa, lazima wamchague Abedi Mussa kuwa mwenyekiti na Julius Lipupuma kuwa Mwenezi wa CCM wilaya ya Kongwa ili waje kupitisha jina la mkewe Fatma Mganga kuwa mgombea ubunge jimbo la Kongwa 2025.

Pia ameuteka uchaguzi huu wa CCM wilaya kwa kuwalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kuwa na box la kupigia kura kila kata tofauti na walivyopanga wasimamizi wa uchaguzi kuwe na box mbili tu. Kwa sasa wanachama wa CCM Kongwa wanaendelea kushuhudia ubabe wa Ndugai kama ule wa mwaka 2015 ambapo alimtwanga mgombea mwenzie fimbo baada ya kuzidiwa sera.
Mwenyekiti aje kula kichwa tuu.
 
Ccm ninkawaida yao. Wapo wengi waliowaachia wake ama watoto zao majimbo;-

Jakaya Kikwete..................mtoto
Samweli Sita (RIP).. ... mke.
Celina Kombani (RIP)........mtoto.
Dr. Abdallah Kigoda (RIP).....mtoto
Prof. Mgimwa (RIP).....mtoto
Njelu Kasaka (RIP) ........mtoto
Rashid awawa (RIP)........mtoto
Mizengo Pinda.......mtoto
Ngoyayi Lowasa. .....mtoto

Na wengine wengi....
Hahaha.........!
 
Mwisho wa siku jina linapitishwa na mwenyekiti wa CCM taifa, hao uliowataja hawana maamuzi ya mwisho.
 
Ccm ninkawaida yao. Wapo wengi waliowaachia wake ama watoto zao majimbo;-

Jakaya Kikwete..................mtoto
Samweli Sita (RIP).. ... mke.
Celina Kombani (RIP)........mtoto.
Dr. Abdallah Kigoda (RIP).....mtoto
Prof. Mgimwa (RIP).....mtoto
Njelu Kasaka (RIP) ........mtoto
Rashid awawa (RIP)........mtoto
Mizengo Pinda.......mtoto
Ngoyayi Lowasa. .....mtoto

Na wengine wengi....
Pinda ni mdogo wake
 
Aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai anajipanga kumuachia jimbo la Kongwa mkewe Bi. Fatma Mganga ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma.
Kwa mbunge anayeamua kuwa hagombei tena, hakuna ubaya wowote kutayarisha a sucession plan ya kumpata mtu competent atakayeendeleza mazuri uliyoyafanya kwenye jimbo hilo, hivyo rukhsa kumpigia chapuo mtu yoyote awe ni mkewe kama Magret Sitta, ni mtoto kama Mgimwa, Lowassa, Sioi etc au awe ndugu yoyote wa karibu.
Ndugai ameanza kampeni na figisu hizi kwa kupanga safu ya viongozi wa CCM ambapo, amemlazimisha aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bwana Abed Mussa kugombea tena licha ya kutaka kustaafu nae baada ya kuwa mshirika mkubwa wa Ndugai katika matendo yake ya ubabe katika jimbo la Kongwa.
Hakuna mtu anaweza kulazimishwa kufanya jambo kinyume cha dhamira yake, hivyo huyu mtu hajalazimishwa bali ameshawishiwa!.
Sasa anawalazimisha na kuwatishia wana CCM wa Kongwa kuwa, lazima wamchague Abedi Mussa kuwa mwenyekiti na Julius Lipupuma kuwa Mwenezi wa CCM wilaya ya Kongwa ili waje kupitisha jina la mkewe Fatma Mganga kuwa mgombea ubunge jimbo la Kongwa 2025.
Hawalazimishwi bali wanashawishiwa.
Pia ameuteka uchaguzi huu wa CCM wilaya kwa kuwalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kuwa na box la kupigia kura kila kata tofauti na walivyopanga wasimamizi wa uchaguzi kuwe na box mbili tu.
Hili mbona ni jambo njema?.
Kwa sasa wanachama wa CCM Kongwa wanaendelea kushuhudia ubabe wa Ndugai kama ule wa mwaka 2015 ambapo alimtwanga mgombea mwenzie fimbo baada ya kuzidiwa sera.
Kongwa ni Ndugai na Ndugai ni Kongwa kama ilivyo Monduli na Lowassa, Ilala na Zangu, etc, kwangu kitu muhimu ni Kwa wale mliowahi kufika Kongwa, ni jimbo choka mbaya kiasi kwamba Mbunge wake hafai kwa lolote!
P
 
Kwa mbunge anayeamua kuwa hagombei tena, hakuna ubaya wowote kutayarisha a sucession plan ya kumpata mtu competent atakayeendeleza mazuri uliyoyafanya kwenye jimbo hilo, hivyo rukhsa kumpigia chapuo mtu yoyote awe ni mkewe kama Magret Sitta, ni mtoto kama Mgimwa, Lowassa, Sioi etc au awe ndugu yoyote wa karibu.

Hakuna mtu anaweza kulazimishwa kufanya jambo kinyume cha dhamira yake, hivyo huyu mtu hajalazimishwa bali ameshawishiwa!.

Hawalazimishwi bali wanashawishiwa.

Hili mbona ni jambo njema?.

Kongwa ni Ndugai na Ndugai ni Kongwa kama ilivyo Monduli na Lowassa, Ilala na Zangu, etc, kwangu kitu muhimu ni Kwa wale mliowahi kufika Kongwa, ni jimbo choka mbaya kiasi kwamba Mbunge wake hafai kwa lolote!
P
Pascal baada ya CCM kukuchinjia baharini, na pia kula million moja yako,
Sasa umerudi kuandika unafiki wako kama mwanzo,
Hata ulivyokuwa unaomba radhi, tukuunge tukuombee, nilijuwa tu, ile ilikuwa ni njaa ya ubunge wa EAC tu,
Unafiki ni asili yako, huwezi kuacha, Eric Kabendera hatakusahau ulichomfanyia.
 
Hakuna mtu anaweza kulazimishwa kufanya jambo kinyume cha dhamira yake, hivyo huyu mtu hajalazimishwa bali ameshawishiwa!.
Nimejifunza kitu hapa. Katika siasa ya kibepari, hakuna kitu inaitwa kulazimishwa bali kuna kushawishiwa (bila kujali ni njia gani imetumika kufanikisha suala hilo).

Asante Pasco.
 
Back
Top Bottom