fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,556
- 914
Kama kweli mshahara wa Tundu Lisu utazuiliwa baada ya mbunge huyo kumaliza tu mahojiano luningani yaliyomshirikisha pia mwakilishi wa Rais balozi Masilingi, basi bungeni labda kuna mambo hayako sawa.
Siamini kama Katibu wa bunge anaona huu ni wakati muafaka wa kusimamisha mshahara wa Lisu kwa sababu hii inampa uwanja mkubwa Tundu kwa kumuongezea vitu vipya vya kuongea.
Lakini sioni sababu za msingi za kuutangazia umma pale mshahara wa mnunge au mtumishi unaposimamishwa kwa sababu yoyote ile.
Zitto aliwahi kufukuzwa bungeni wakati wa Buzwagi na ndio akazidi kuwa maarufu.
Tusifanye maamuzi kwa jazba na kisiasa
Maendeleo hayana vyama!
Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Spika kuchukua ushauri wa mbunge kilaza kama msukuma ni aibu kubwa sasa kumbe waukumu wengi ndiyo walishiruki kumpiga Risasi ili akienda huko baadae wadai ni mtoroIpo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Mbunge musukuma, Bashite, akina Musiba, Le mutuz, jerry muro, Heri kisanduku ndiyo waliomshambulia Tundu Lisu kwa RisasiBAADHI TU YA WATU AMBAO WALIOMSHUTI TL NI HAWA
Hujui hata kununua vocha tayari umelipa kodi?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mkuu mbona huyu bwana anaogopwa sana....si waamke siku moja wafute kila kitu yaishe!!!! maana kila siku hakuna habari zaidi yake............
Weee mjazeni upepo tu na lissu awezi kukataa pesa angekuwa hana shida angezirudisha pesa maana akuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Hardtalk tena!? Sasa hivi mmeshapata Danga jipya VoA!? Tehe Tehe Tehe. Makamanda bwana!
Kumbe hana shida sasa angepotezea hata kulalamika kama bunge alikumpa pesa za matibabu.Nani huwa anarudisha hela? Kwani wote waliowahi kuwa wabunge baada ya ubunge walikufa? Lisu alikua na maisha mazuri hata kabla ya huo ubunge. Ubunge kitu gani bana? Tena bunge lenyewe hilo la makondoo.
Wewe siku hizi sikuelewi!Kwani aliwahi kuwa na ripoti yoyote ya daktari wa Lisu?!.......... Mnara wa babeli
Kumbe hana shida sasa angepotezea hata kulalamika kama bunge alikumpa pesa za matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app