Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
SPIKA NDUGAI NA PAULO BILA SHAKA.
 
Nasikia aliandaliwa risala, sijui alipelekewa? Au ilihifadhiwa kwenye Hansard.
Akishamaliza kipimo chake cha kumbukumbu na uvumilivu wa kusafiri na kukaa bila ya kutegemea msaada wa vifaa, ataruhusiwa kurudi.
BUNGENI KUNA KAZI INAENDELEA?UZWAZWA TU
 
Kuna mbunge aliitwa Ndembela Ngunangwa aliwahi lipwa mamilioni mengi sana kwa amri ya mahakama miaka mingi baada ya ubunge wake kukoma. Kulikuwa na maamuzi ya hovyo hovyo hivi kama haya.

Atakachofanya Ndugai ni kutengeneza madeni tu kwa serikali zijazo kama ambavyo serikali ya awamu ya kwanza imezipa shida ya medeni serikali zilizofuata, kwa kupora/ kutaiifisha hovyo mali za matajiri
 
hiki ki spika na mashavu yake yale kitajuta kumuadhibu mtu asiye na hatia cheo dhamana
 
Wabunge wa ccm waliopo bungeni wanafanya kazi gani
Kutunga sheria za kuwaumiza walipa kodi?
Mnaomba report ya daktari kwa lipi mlilomfanyia
Let the man speak out. Ulimwengu ujue the whole truth

Ungebutuliwa wewe au baba yako ungefanya anayoyafanya Lissu

Mmekosa utu hayawani nyie! Mnatia kichefuchefu
R.I.P Dad; huyo mzee hakuwa mzembe kama tobo kisu ambaye kaamua kufanya TV uwanja wa kuonesha uzembe wake.

Watu wana matatizo zaidi yake na wametulia kupambana nayo.

Sasa huyu jamaa anataka matatizo yake yawe ya kila mtu, jambo ambalo halitawezekana na sio sawa kabisa.

Adeal na matatizo yake aache kusumbua watu.

Ukimwangalia vyema anahitaji msaada wa kisaikolokijia zaidi sana ya kuwa Rais.
 
spika na serikali wapanga figisu zingine kumkwamisha kijuku watume ndugu Tundu Lisu kwa kumyima haki yake mshahara.
Wananchi wote wapenda amani na wazalendo waaza harakati za kumchangia kilamwezi 1000 ili ndugu Lisu aendele na matibabu na harakati za kuwapambania wanyonge mchango huo uta anza rasmi atakapo futiwa tu mshahara wake.
Tuta pambana kwa hali yoyote mpaka tufike
Mi nitatoa 100,000/= kila mwezi!
 
Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Boss wee ni Fala [emoji16][emoji85]

Driving using BMW X6
 
mama faiza foxy.
njoo uone jibu la swali lako.
ndugai anataka asimamishe mshahara wa lissu.
kwani lissu Aliaga bungeni wakati anaondoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameichafua nchi ipi?
Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
 
Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..

Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
mi nadhani hata lizochukua adaiwe
 
Back
Top Bottom