chugamaica
JF-Expert Member
- Dec 17, 2018
- 218
- 128
Taarifa gani wewe unahitaji zaidi labda? Inamaana wewe hujui lisu kashambuliwa kwa risasi? Tena akiwa anatokea bungeni?Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Sent using Jamii Forums mobile app