MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
CCTV CAMERA ZAONDOLEWA ENEO LA TUKIO UKAKAA KIMYA
MATIBABU YAKE UKAKAA KIMYA
UGONJWA WAKE UKAKAA KIMYA
UZIMA WAKE UKAKUFANYA UANZE KUMSEMA
KUONGEA KWAKE KUKAKERA UKATAMANI UMFUTE UBUNGE NA MSHAHARA
ANGEKUFA UNGELIPWA WEWE MISHAHARA YAKE? UNGEENDA KUWA MBUNGE JIMBONI KWAKE? UNGEONGEZEWA MSHAHARA?UNGEONGEZEWA SIKU ZA KUISHI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yangependeza ungeyasema mkiwa mmekaa meza moja na Lissu CNN au Aljazeera vingevyo uwe unayaongea na mke wako nyumbani.Uhaini ni kosa la jinai, kwa tafsiri nyepesi ina maana kwamba ni kosa kubwa ambalo mtu analifanya dhidi ya nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti, mfano wa watu wasaliti wanaojulikana duniani ni Yuda ambaye kidini alimsaliti Yesu, mwingine ni Benedict Anold huyu jamaa aliisaliti nchi yake ya Marekani dhidi ya Mbritishi, wengine ni Vidkun Quisling, na Marshall Pe’tain.
Kisheria ukubwa wa kosa hupimwa kwa adhabu yake, kosa likiwa kubwa mtuhumiwa hutumikia adhabu kubwa vivyo hivyo kosa likiwa dogo mtuhumiwa huadhibiwa kiasi.
Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini hivyo huadhibiwa kulingana na ukubwa wa kosa hilo.
Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais, kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini
Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu.
Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya uhaini dhidi ya nchi yetu.
Kwa Hisani ya Mpekuzihuru.
Mke wangu ni wewe...njoo basi chumbani tuyaongee.Haya yangependeza ungeyasema mkiwa mmekaa meza moja na Lissu CNN au Aljazeera vingevyo uwe unayaongea na mke wako nyumbani.
Hahahah umempa makavu da.tecla!Haya yangependeza ungeyasema mkiwa mmekaa meza moja na Lissu CNN au Aljazeera vingevyo uwe unayaongea na mke wako nyumbani.
Halafu u must be a gay, 69 means you are versetaile..Uhaini ni kosa la jinai, kwa tafsiri nyepesi ina maana kwamba ni kosa kubwa ambalo mtu analifanya dhidi ya nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti, mfano wa watu wasaliti wanaojulikana duniani ni Yuda ambaye kidini alimsaliti Yesu, mwingine ni Benedict Anold huyu jamaa aliisaliti nchi yake ya Marekani dhidi ya Mbritishi, wengine ni Vidkun Quisling, na Marshall Pe’tain.
Kisheria ukubwa wa kosa hupimwa kwa adhabu yake, kosa likiwa kubwa mtuhumiwa hutumikia adhabu kubwa vivyo hivyo kosa likiwa dogo mtuhumiwa huadhibiwa kiasi.
Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini hivyo huadhibiwa kulingana na ukubwa wa kosa hilo.
Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais, kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini
Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu.
Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya uhaini dhidi ya nchi yetu.
Kwa Hisani ya Mpekuzihuru.
You must be one of those Ninjas on the Down Low to know that kind of ish. To me 69 means the year that my beloved Gradpa passed away.Halafu u must be a gay, 69 means you are versetaile..
Huna lolote mjaluo mmoja mpuuzi, ndio maana hurefuki!You must be one of those Ninjas on the Down Low to know that kind of ish. To me 69 means the year that my beloved Gradpa passed away.
Uncircumcised baboon at your level best.
Pathetic!
Danga limekuchoropoka unaleta hasira JF! Bwahahahaha.Huna lolote mjaluo mmoja mpuuzi, ndio maana hurefuki!
Hii battle inanigusa hadi mimi.Huna lolote mjaluo mmoja mpuuzi, ndio maana hurefuki!
You must be one of those Ninjas on the Down Low to know that kind of ish. To me 69 means the year that my beloved Gradpa passed away.
Uncircumcised baboon at your level best.
Pathetic!
Haha hahahah najua kwanini imekugusa!Hii battle inanigusa hadi mimi.
Nikiwa kama mwakilishi wa SPU (Short People United) naomba utengue kauli ya kwamba huyo bwana harefuki kisa ujinga.
Kauli hiyo inamaanisha kua sisi vijeba hatuna akili ndiyo maana tupo hivi. Wakati hayo ni maumbile ya Mungu.
Ndimi Castr Magige,
Mwakilishi Kanda ya Pwani,
SPU (Short People United),
SLP 1254 Kisarawe,