rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Hivi mtu aliyeshinda mauti unaweza kumtisha na mshahara
Jamaa amepona kabisa, anazuga tu. Angalia sasa anataka kuanza kupigana na Masilingi studio na bado anajidai ni mgonjwa. Akatiwe mshahara mapema iwezekanavyo.
Pumbavu kabisa unalipa kodi wapi wakati zururaji la korido za lumumba hapo?Mijitu mingine shetani kabisaMmechelewesha sana huo uamuzi Ndugai fanyeni haraka. Kama kuna mzigo kwenye akaunti yake nao uchukueni kabisa kufidia, hawezekani tunalipa kodi halafu mnawapa watu kirahisi tu
Dr Mtambuka ulimfanyia lini Lissu assessment mara ya mwisho?
Hujui hata kununua vocha tayari umelipa kodi?Pumbavu kabisa unalipa kodi wapi wakati zururaji la korido za lumumba hapo?Mijitu mingine shetani kabisa
Hili linaeleweka kabisa toka alipoagizwa na magufuli awashughulikie wapinzani ndani ya bunge then watoke nje ili magufuli awashughulieMbona kabla ya kuanza kuhojiwa na vyombo vya habari ulikuwa ukimpa mshahara wake, kipindi hicho bwana Ndugai ulikuwa na taarifa ya hali ya Lissu?
Kwa matendo haya ya Ndugai hivi karibuni nina wasiwasi kwamba naye alikuwemo katika mpango......
Picha tu zinaonyesha Lissu anatembea kwa magogo. Inatosha tu kukuambia Bado mgonjwa. Utaombaje report ya Dr. Wakati humfanyii matibabu mfanyakazi wako?
Foolish foolHujui hata kununua vocha tayari umelipa kodi?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Lissu press that button harder, they have started to feel it. Just keep pressing.
Mwambie Ndugai LISSU ana ratiba ya kuonana na USAID ambao Ni Moja ya WAFADHILI WAKUBWA SANA TZ (WANAUME in JPMs voice)! Akidhani anamnyima Mshahara wake wa 12m monthly, ajiulize nchi inakosa Bilioni ngapi kwa Ujinga wake? Kabla ya kusitisha Mshahara wa Lissu ajadiliane kwanza na Dr. Mpango!Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Tena kwenye 5* hotel.
Haya ni maagizo kutoka juu Ndungai ni msemaji tu.
Lisu aliulizwa katika marisasi yote hayo kwanini hakuna hata moja immempata kwa bahati mbaya dereva wake akabakia kutuzuga tu.Waliompiga Lisu anawajua dereva ambae amefichwa na mwenyekiti wa chama kwa hofu ya kuwataja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanahisi walijiumba...unapokuwa na pumzi unasahau wenzako.. Kwa hali ya Ndugai anavyopata tabu kiafya nadhani hakupaswa kufikia hatua hii.. Ndugai mwogope MUNGU.. unaweza unaweza msitishia mshahara na akaendelea Ku survive.Ndugai muogope mwenyezi MUNGU anayekupa pumzi ya bure kabisa.
Anahitajika na mwajiri..hata hivyo wanambembeleza sana.Kila kiongozi wa siasa na Serikali hasa wa upande wa Dol, mapaka mabalozi na Bashite wanataka arudi!!!!!!!!!!!!!
Je wanayo plan B sasa?