Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Kwan wakati yupo kitandan ulichangia sh ngapi...au ulikuwa unasubiri nan aanzishe huo mchango.
Wabongo bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..

Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Kazi gani unataka azifanye wakati bado yuko kwenye matibabu au daktari wake kakwambia amepona na ameruhusiwa?.
Mwache ateme nyongo,awaumbue watesi wake na akirudi ndipo watatamani ardhi ipasuke wajifiche.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa hili swala la lissu makosa yaliyofanyika September 7,2017 hakuna wa kuyarekebisha kwa sasa
ni makosa makubwa mno!! hakukiwa na 2nd option in case!!

Hii itawahangaisha sana, issue imekaa vibaya mno.
 
Hamna cha usaid wala nini. Sheria za Bunge zifuatwe. Akatiwe mshahara huyo Lisu; kama akitaka aombe kulipwa mshahara wake na hao usaid.
 
Anachafua nchi au anasafisha nchi?

Lumumba mnachafua nchi, lissu anasaidia kuisafisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maa
Maagizo ya jana hayo! Ngoja tuone hili nalo litafikia wapi!
 
Kumdhulumu mshahara wake haitabadilisha ukweli anaousema vumilieni tu mumejitakia wenyewe huu msala.
 
Ni watu wasiojulikana
 
Mmechelewesha sana huo uamuzi Ndugai fanyeni haraka. Kama kuna mzigo kwenye akaunti yake nao uchukueni kabisa kufidia, hawezekani tunalipa kodi halafu mnawapa watu kirahisi tu
Ni kweli wazuie haraka mshahara wa Lissu ili hiyo pesa itumike kununua wapinzani wahamie Ccm kuunga mkono juhudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule hana madhara Mkuu,tumpotezee tu au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…