Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Bandari gani imeuzwa wewe? Unapata nini unapo potosha watu? Unajihisi wewe ndo mzalendo peke yako?
 

Limekosa kunyonya asali yahudi hilo
 
Juzi mama ameenda kukopa 1.3 trilioni. hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 60 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni au tubanane banane hapa hapa, tujenge wenyewe bila madeni haya makubwa makubwa haya yasiyoeleweka. Ni lini sisi tutafanya wenyewe ‘and how’ (na kwa vipi),” alisema Spika Ndugai.
 
Katika mnada huo, Unguja na Pemba watahusika kuuzwa? Inawezekana maza akauza huko bara akijua huko kwake hapatauzwa.

Umelala? Kijana wa Mkuranga, Mwinyi anauza visiwa, Airport , bandari
 
Kwani ikiuzwa kuna shida gani? Hivi tunavyoishi kuna tofauti gani na kuuzwa?
 

Shikamoo Ndugai
 
Yaaani waibe kila kitu, waue yeyote wamtakaye, lakini kuuza au kidisha Bandari kwa miaka 100, hii ni kama wanavuka mipaka kuliko mipaka yote iliyowahi kuvukwabtangu kuanzishwa hii nchi. What next?!
 
Chadema wote Hadi kina mange wamempost magufuli kwa ile video akielezeee bandari
 
Siwez kumuunga,mkono Ndugai maana hapo alikuwa anatetea uwepo wa tozo kitu ambacho kinatuumiza wananchi wa kipato Cha chini mpaka sasa, ni wale wale tu wanaojifanya think tank ya nchi ili Hali vichwani weupe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…