Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Masikini ndugai aliposema nchi itapigwa mnada alisakamwa mpaka na wabunge wenzio sijui kosa lake lilikuwa nini hapo mpaka wamsakame vile?
 
Mhenga ktk ubora wake.
 
madalali akina Kitenge, Mwijaku na wenzao waarabu:
 
Yeahhj yanatimiAa. Kupigwa mnada hakuepukiki aseeeeee
 
Your browser is not able to display this video.

Nimeisikiliza hii clip ya Mheshimiwa Ndugai (mb).

Imenitia simanizi sana nikikumbuka jinsi alivyoondolewa u-spika na chama chake kwa kejeli ya hali ya udhalilishaji mkubwa. Kumbe walikuwa na agenda yao mfukoni.

CCM mna laana ya mwalimu.
 
Inaonekana CCM baadhi ya viongozi walikuwa tayari na agenda hii ya DP-WORLD.

Sasa kwa kuona Ndugai anaanza kuwa na mrengo tofauti nao.

Ikawa hamna namna zaidi ya kumfagilia mbali ukizingatia hii issue ilikuwa ni lazima ipitie Bungeni. Sidhani kama angekubali kuipitisha DP-WORLD.
 
Kuhusu huyo jamaa et ana uzalendo napinga mnoo, hajawahi kua na huo uzalendo!! Hii issue ingekua kipind cha shujaa nakwambia huyu Mzee angewashughulikia bungeni wanaopinga, hoja nying za msingi bungeni kipind kile alikua anazima na kuwashughulikia wapinzani hata kutolewa ndan ya bunge au kufungiwa. Tatizo lake ni kunyofolewa kweny kiti tu! Nakuhakikishia angekua kweny kiti asingethubutu na angeunga mkono juhudi za Rais!! Ishi humo.
 
Alinusa maslahi yake kuguswa anajivika koti la uzalendo ghafla, it's better aliondoka
 
Hoja yako haina mashiko kwasababu kipindi anayasema haya alikuwa bado ni Spika wa bunge baada ya hapo alivyoanza kusakamwa na kwa ushauri wa Mzee Malechela akaachia ngazi na zaidi hilo Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa hivi kwahiyo kuandika kuwa Ndugai angeunga mkono huu mkataba ni uongo.
 
Unaongea nini mkuu?
Kwani hapo alikuwa ameondolewa U spika?
Au kusema hivyo ndio kulimfanya aondolewe u spika?
 
Namnukuu "Nani atatufanyia? Yuko wapi huyo Mjomba?. . ."


Nikiangalia ule mkataba Naona Mjomba sasa kaja 😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…