Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Inaonekana CCM baadhi ya viongozi walikuwa tayari na agenda hii ya DP-WORLD.
Sasa kwa kuona Ndugai anaanza kuwa na mrengo tofauti nao.
Ikawa hamna namna zaidi ya kumfagilia mbali ukizingatia hii issue ilikuwa ni lazima ipitie Bungeni. Sidhani kama angekubali kuipitisha DP-WORLD.
Laana na adhabu ya Mungu na iwe juu ya Tulia Ackson.Inaonekana CCM baadhi ya viongozi walikuwa tayari na agenda hii ya DP-WORLD.
Sasa kwa kuona Ndugai anaanza kuwa na mrengo tofauti nao.
Ikawa hamna namna zaidi ya kumfagilia mbali ukizingatia hii issue ilikuwa ni lazima ipitie Bungeni. Sidhani kama angekubali kuipitisha DP-WORLD.
Umeelewa ulichokiandika?Kuhusu huyo jamaa et ana uzalendo napinga mnoo, hajawahi kua na huo uzalendo!! Hii issue ingekua kipind cha shujaa nakwambia huyu Mzee angewashughulikia bungeni wanaopinga, hoja nying za msingi bungeni kipind kile alikua anazima na kuwashughulikia wapinzani hata kutolewa ndan ya bunge au kufungiwa. Tatizo lake ni kunyofolewa kweny kiti tu! Nakuhakikishia angekua kweny kiti asingethubutu na angeunga mkono juhudi za Rais!! Ishi humo.
Rudi kasome upya! Pia kasikilize clip ya mleta mada then njoo ulinganishe nilichopinga!!Umeelewa ulichokiandika?
Mzee muwe mnaelewa code 😂😂😂 alikua speaker lkn haikua kama mnavyodhan cz alijua mda wowote anapigwa chini!! Hakuna speaker mwenye uhakika na kiti chake then awe against aliemchagua!! Never ever in Tanzania!! Muwe mnaelewa hapo ilikua tayar anajua anachomolewa!!Hoja yako haina mashiko kwasababu kipindi anayasema haya alikuwa bado ni Spika wa bunge baada ya hapo alivyoanza kusakamwa na kwa ushauri wa Mzee Malechela akaachia ngazi na zaidi hilo Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa hivi kwahiyo kuandika kuwa Ndugai angeunga mkono huu mkataba ni uongo.
Hakuna unabii wowote, maslahi yake yalifikia tamati.Kuanzia leo kama Mtumishi wa Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo.
Mungu Mwenyezi aliyeumba Mbingu na Nchi.
Namtangaza rasmi Ndugu yetu mpendwa, Job Ndugai kuwa ni Nabii.
Tungoje Mnada Wa Kuuzwa Watu Na Tanzania YoteTumeshavuka trillion 100. Na Juzi tumekopa Billion 300 WB kujenga kivuko jangwani
Juzi mmekopa mara ngapi kwa ajili ya ya mradi huo wakati walishachukua mkopo tangu mwaka 2022 kwa ajili hiyo? Ni wizi mtupu!!!Tumeshavuka trillion 100. Na Juzi tumekopa Billion 300 WB kujenga kivuko jangwani
Kwenye hio Tume unless unamaanisha wewe na wao mimi kwenye hio Mikopo Simo kabisa wala sikubaliani nayo... Let the record show for future generations...Tumeshavuka trillion 100. Na Juzi tumekopa Billion 300 WB kujenga kivuko jangwani
Serikali ikishachaguliwa, basi inakuwa na mamlaka ya kufanya kwa niaba ya ‘UMMA’. Hivyo ujinga wote wanaofanya ni sisi ndio tunaonekana tumefnaya, ikiwemo kukopa. Sasa kama hukubaliani nao, inabidi either mfanye mapinduzi kuipindua serikali, au subirini uchuguzi mkuu ujao muwaondoe madarakani. Ila so far, ni sisi ndio tunakopa.Kwenye hio Tume unless unamaanisha wewe na wao mimi kwenye hio Mikopo Simo kabisa wala sikubaliani nayo... Let the record show for future generations...
Inasikitisha sana kwa kweli, wanakopa bado pesa wanazokopa zinaishia kwenye mifuko yao wakijipanga kwaajili ya uchaguzi ujao na kulisha familia zao na ukoo wao kwa hanasa za hali ya juu, hii nchi ni lini tutakuwa na viongozi wazalendo, wakijitokeza wazalendo wataitwa kila majina mabaya na destination zao huwa ni kifo, very sad!
Nimeisikiliza hii clip ya Mheshimiwa Ndugai (mb).
Imenitia simanizi sana nikikumbuka jinsi alivyoondolewa u-spika na chama chake kwa kejeli ya hali ya udhalilishaji mkubwa. Kumbe walikuwa na agenda yao mfukoni.
CCM mna laana ya mwalimu.
Huyo shetani magufuli ndio aliyewafungua macho juu ya rasilimali zenu, ndiye aliyewaheshimisha kimataifa,miradi mikubwa ya kimkakati mngezisikia kwa wenzenu, uzalendo makazini, flyover na interchange, sgr, stigler gorge mngesikia kwa majirani, masoko na stendi, kodi zetu zilikuwa zinatumika vizuriHakuna unabii wowote, maslahi yake yalifikia tamati.
Alikuwa na jeuri ya kuinuwa mdomo wake kuusema utawala wa shetani Magufuli?
Huyu si alihamia kabisa Chato?
Waliotufungua macho ni akina Zitto Kabwe,Tundu Lisu,Chacha Wangwe,Freeman Mbowe,John Heche,Ezekiel Wenje,John Cheyo,Mch.Msigwa,Sugu na Mrema.Huyo shetani magufuli ndio aliyewafungua macho juu ya rasilimali zenu, ndiye aliyewaheshimisha kimataifa,miradi mikubwa ya kimkakati mngezisikia kwa wenzenu, uzalendo makazini, flyover na interchange, sgr, stigler gorge mngesikia kwa majirani, masoko na stendi, kodi zetu zilikuwa zinatumika vizuri
Hakuna nchi yenye maendeleo ambayo imeongozwa na watu lege lege ni bora kuuwa watu wanaokwamisha maendeleo ili nchi isonge mbele, angalia Rwanda chini ya PK.....
Unaongelea hao wagagagigikoko wachumia tumbo, wanafiki wakujitegemea, hao wajinga waliwafumbua nyie chadomo.Waliotufungua macho ni akina Zitto Kabwe,Tundu Lisu,Chacha Wangwe,Freeman Mbowe,John Heche,Ezekiel Wenje,John Cheyo,Mch.Msigwa,Sugu na Mrema.