Job Ndugai popote ulipo, kaa kwa kutulia na uwe na amani. Watanzania waanaamini hivi

Job Ndugai popote ulipo, kaa kwa kutulia na uwe na amani. Watanzania waanaamini hivi

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,736
Mh. Job Ndugai. Baada ya kujiuzulu vyombo vyote vya habari vikiongelea suala lako. Iwe BBC, VoA, DW na vi-fm vyetu huku mtaani habari ilikuwa ni Ndugai.

Kwanini nasema ukae kwa kutulia, watu wengi huku mitaani kwetu ukiwauliza kwanini Job aliondoka wanajibu moja matata sana. Wanasema ulimkosoa Mama kuwa aache kukopa kopa. Hivyo uliondoka sababu ulimuudhi Rais.

Sasa waulize kwani mkopo nyie unawathiri nini? Nilishangaa kuone koneksheni waliyoifanya kuwa eti sababu ya kukopa vitu kama Sembe, mafuta, sabuni, petroli na vinginevyo vimepanda bei ili zipatikane hela za kulipa madeni. Nilishangaa na sijui kama ni kweli ila ndo hicho wanachojua.

Kama kuna sababu nyingine ya Ndugai kujiuzulu waambiwe wananchi la sivyo mpaka sasa Ndugai anaonekana ji Jasiri.

Usishangae Ndugai kupita sehemu kwa mguu wakaanza kumshangilia. Yaani wanaamini sababu ya Ndugai kujiuzulu ni kukuambia wewe punguza kukopa. Hawajui kingine maana ndicho chanzo pekee kilichoonekana kama chanzo.

Ile stress ya 2025 wala wananchi huku hawaijadili. Wala kitendawiki cha chungu chapwaga bila moto hawaijadili. Wanachojua ni kuwa mkuu alikosolewa na aliyemkosoa kaomba msamaha Lakini msamaha umetoswa basi tena.

Ndugai pita tu kwa amani mtaani.
 
Mh. Job ndugai. Baada ya kujiuzulu vyombo vyote vya habari vikiongelea suala lako. Iwe bbc, voa, dw na vi fm vyetu huku mtaani habari ilikuwa ni Ndugai.

Kwa nini nasema ukae kwa kutulia, watu wengi huku mitaani kwetu ukiwauliza kwa nini Job aliondoka wanajibu moja matata sana. Wanasema ulimkosoa Mama kuwa aache kukopa kopa. Hivyo uliondoka sababu ulimuudhi Rais.

Sasa waulize kwani mkopo nyie unawathiri nini? Nilishangaa kuone koneksheni waliyoifanya kuwa eti sababu ya kukopa vitu kama Sembe, mafuta, sabuni, petroli na vinginevyo vimepanda bei ili zipatikane hela za kulipa madeni. Nilishangaa na sijui kama ni kweli ila ndo hicho wanachojua.

Kama kuna sababu nyingine ya Ndugai kujiuzulu waambiwe wananchi la sivyo mpaka sasa Ndugai anaonekana ji Jasiri.

Usishangae Ndugai kupita sehemu kwa mguu wakaanza kumshangilia. Yaani wanaamini sababu ya Ndugai kujiuzulu ni kukuambia wewe punguza kukopa. Hawajui kingine maana ndicho chanzo pekee kilichoonekana kama chanzo.

Ile stress ya 2025 wala wananchi huku hawaijadili. Wala kitendawiki cha chungu chapwaga bila moto hawaijadili. Wanachojua ni kuwa mkuu alikosolewa na aliyemkosoa kaomba msamaha Lakini msamaha umetoswa basi tena.

Ndugai pita tu kwa amani mtaani.
Unambembeleza nini? Bossi wako anakuja kuumizwa zaidi kuhusu wale Covid-19 wakitakiwa watoke nje ya ukumbi wa bunge mana si wabunge hawana chama
 
Unambembeleza nini? Bossi wako anakuja kuumizwa zaidi kuhusu wale Covid-19 wakitakiwa watoke nje ya ukumbi wa bunge mana si wabunge hawana chama
Simbembelezi naongea ninachokiona huku niliko hao wabunge 19 wala wananchi huku hawana habari nao
 
Simbembelezi naongea ninachokiona huku niliko hao wabunge 19 wala wananchi huku hawana habari nao
Hao ni watu wa vijijini hawafiki ata laki moja., hawana internet na bando kujua duniani sasa kitu gani kilitokea na kwanini na nani ni nani achana nao
 
Wagogo mmeitana kuteteana
Hoja ya kipuuzi, ni lini tulikuwa hatukopi mpaka amlaumu Samia kwa kukopa?
Budget inayopitishwa na Bunge la Ndugai huku akiwananga wapinzani kwa vijembe inajieleza wazi kwamba asilimia kadhaa ni mikopo, kwanini has Emirates hauko kwenye mjadala wa budget?

Hakuna Rais ajaye Nchi hii hata miaka 50 ijayo ambaye hatakopa kwa sababu ndio mfumo wa dunia na maisha kwa ujumla, suala ni mkopo wa aina gani na kwa faida gani.
Magufuli alikopa kuliko Rais yeyote kwa miaka mitano tu, lakini Ndugai alikuwa anapiga makofi na kucheka cheka tu huku akinengua hakuthubutu kufungua mdomo.
Mkopo aliokopa Mama hauna riba kabisa lakini kelele nyingi.
Jiulize Wewe mtu akikuambia anakupa M20 umrudishie baada ya miaka 5 bila riba utakataa?Acheni upuuzi
 
Hakuna Sukuma Gang anayeunga mkono mkataba wa kilaghai wa Bandari ya Bagamoyo.
Mlidanganywa na jiwe kuwa huo mradi ni wa kifisadi kumbe aliwaviriga kwa fitina na wivu wake.
 
Tangu amusaliti Mwendazake juu ya bandari ya Bagamoyo,alishadharaulika.
 
Simbembelezi naongea ninachokiona huku niliko hao wabunge 19 wala wananchi huku hawana habari nao
Wewe mwehu kwelikweli wananchi wasiwe na habari na watu/ wabunge waliopo bungeni kinyume cha katiba wawe na habari na kujiuzulu kwa ndugai????
Mlisoma shule gani nyie watu
 
Nyinyi sukuma gang ndiyo mmedharauliwa kitambo na watanzania
Thubutu huko kwenu Hangaya katembelea Mara ngapi?
Lakini kwa sukumagang,Kona mbili unasikia Hangaya yupo sukumagang.
Anajua vema sukumagang ni Kama maji,usipoyanywa utaogezewa drip hospital.
 
Back
Top Bottom