Job Ndugai: Sitagombea tena ubunge 2025!

Hata hivyo ushazipiga mno za nchii Job,siyo had uvimbewe. Kale pensheni kimya kimya gogoman
 
Amekuwa mbunge kwa robo karne. Atuoneshe amefanya nn kwa wana Kongwa kabla ya kuondoka.
 
Ni uamuzi wa busara mno.

Na vingunge wenzanke waige mfano.

Tupate mawazo mapya sio watu wale wale miaka yote.
 
Hata angetaka kugombea hapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…