Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Hello JF
Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote.
Baada ya kuachia kiti cha uspika kwa utopolo ni wakati umeiva tumuone akijiunua kwa kutanabaisha bayana mambo bayana ayaitayo legacy ambayo yeye kafanya na Lissu hakufanya.
Tunakuombea uendelee kupauka vizuri ili upate wasaa wa kuyaainisha bayana hayo mambo mpauko yalioambatana na ustaafu masalia.
Tutakufuata tutakufuata hadi uandike hio legacy yako.
Moshi ufukao ni bayana ya maangamizi katika uchochevu wa uitwao moto.
Kama yupo ajuaye ama aulizae na anaesubiri legacy ya job ambatana nami ongeza maulizo
Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote.
Baada ya kuachia kiti cha uspika kwa utopolo ni wakati umeiva tumuone akijiunua kwa kutanabaisha bayana mambo bayana ayaitayo legacy ambayo yeye kafanya na Lissu hakufanya.
Tunakuombea uendelee kupauka vizuri ili upate wasaa wa kuyaainisha bayana hayo mambo mpauko yalioambatana na ustaafu masalia.
Tutakufuata tutakufuata hadi uandike hio legacy yako.
Moshi ufukao ni bayana ya maangamizi katika uchochevu wa uitwao moto.
Kama yupo ajuaye ama aulizae na anaesubiri legacy ya job ambatana nami ongeza maulizo