Job qualification failed: I suggest the secretariat widen the window for applicants to be able to apply for most posts

Job qualification failed: I suggest the secretariat widen the window for applicants to be able to apply for most posts

Ukikuta mtu wa namna hiyo ni mbinafsi sana.
Kwa mtu aliyestarabika hujaribu kumkosoa mtu na sio kumcheka au kudhihaki..
wenyewe wenye lugha yao huwezi ona wakidhihaki mtu. Ila mbuzi za kiafrika ni much know
Ni kweli mkuu mara nyingi watu wa aina hii wanakua na historia ya utukutu, kuteswa utotoni, kunyanyaswa kingono, kupata malezi ya upande mmoja, kutopendwa na wazazi au marafiki, kudhalilishwa, kudhihakiwa, kuonewa kazini ama kwenye mahusiano, kutamani madaraka lakini anashindwa kujieleza. Haya yanamfanya kutafuta mahali pa kutolea hasira zake at leat ajifariji kwa kujaribu kua dominant indirectly.
Huyu bado ana ulimbukeni wa lugha mkuu tumuache asipate msongo zaidi
 
Back
Top Bottom