Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,214
JOB VACANCY..
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
... 2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi ipo.
Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE & ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor degree}.
3.Hakuna uzoefu unaohitajika.
4.Umri chini ya miaka 45. Kama unahitaji hiyo kazi, basi usijali.
Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta manake hata mimi ninatafuta kazi kama hiyo.
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
... 2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi ipo.
Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE & ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor degree}.
3.Hakuna uzoefu unaohitajika.
4.Umri chini ya miaka 45. Kama unahitaji hiyo kazi, basi usijali.
Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta manake hata mimi ninatafuta kazi kama hiyo.
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨