Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Yupo umoja party anaimarisha chamaTangu ashangiliwe kwa nguvu kubwa na wabunge siku ya kupitisha bajeti Kuu ya Serikali, Spika aliyejiuzulu Job Ndugai hajaonekana tena je yuko wapi mwanasiasa huyu
Kauliziwa Jobo au huelewi πΆIla huyo hajauliziwa humu ndani.
Umeniwahi mkuu kapernaumu ilikua akilini mwangu.Atakuwa ameenda kushuhudia ndoa nyingine ya yesu huko capernaum.
π€£ π€£ π€£ π€£Wakati fulani alionekana Jerusalem,
Tumuulize Jo, popote ulipo fanya kama unajikuna tunataka tukamsalimie JoboKwani ana kwake pangapi mkuu
Mbona naambiwa mwenzenu amewahi kwenye koroshoπ€Atakua na yeye anahangaika kutafuta soko la zabibu, nasikia zinaharibika tu Shambani Huko Dodoma na wanunuzi hakuna
Kaondoka, kaona zabibu hazina sokoMbona naambiwa mwenzenu amewahi kwenye koroshoπ€
Yuko MirembeTangu ashangiliwe kwa nguvu kubwa na wabunge siku ya kupitisha bajeti Kuu ya Serikali, Spika aliyejiuzulu Job Ndugai hajaonekana tena je yuko wapi mwanasiasa huyu
Tangu ashangiliwe kwa nguvu kubwa na wabunge siku ya kupitisha bajeti Kuu ya Serikali, Spika aliyejiuzulu Job Ndugai hajaonekana
Mbona juzi kati alionekana akipokea mwenge huko jimboni kwake?Tangu ashangiliwe kwa nguvu kubwa na wabunge siku ya kupitisha bajeti Kuu ya Serikali, Spika aliyejiuzulu Job Ndugai hajaonekana tena je yuko wapi mwanasiasa huyu
Yupo Galilaya anavuna zabibu.Tangu ashangiliwe kwa nguvu kubwa na wabunge siku ya kupitisha bajeti Kuu ya Serikali, Spika aliyejiuzulu Job Ndugai hajaonekana tena je yuko wapi mwanasiasa huyu
πππππ, siyo Kapenaumu??Wakati fulani alionekana Jerusalem,