Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Tatizo lenu hamtaki uhalisiaInaonyesha yuko kwenye hali mbaya sana
Ni kweliii lakini nadhani inategemea na mtu ameyapimaje mafanikio kwakweli, sisi tunakimbilia kujenga wahindi wala awana tabu na NHC na wanatuzidi uwekezaji na maokotoDhana ya mafanikio ni very subjective ndugu yangu. Kama mtu anaona food security na kupata sehemu ya kulala tu ndio mafanikio, basi well and good. Ninachojua kwa uhakika ni kwamba tarajio la kwanza la binadamu wengi wakiwa kwenye kupambana ni kupata mali na maisha mazuri kwaajili yake na familia. Sidhani kama ina amount kuitwa progress kwa mtu mwenye umri wa miaka 30 akiwa na uhakika wa kula na mahali pa kulala, there's more needed.
HhhhhhhTatizo lenu hamtaki uhalisia
Mnataka kubebembelezwa na Motivation speakers.
Kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha[emoji1][emoji1]
Ndivyo mnataka msikiage hivyo tu.
Hamtaki uhalisia.[emoji23] maneno ya aina hii yanatoka kwetu kajamba nani, uwezi pambana usione progress unless we umeamua tu maisha yako yawe ivoo
Wala si kitu cha kuitwa hard truth ni maisha na yanawatokea watu kweli si wote wanafika kilele cha mafanikio wengine waliondoka katika hali hiyo ya ufukara, hili ni angalizo tu katika mapambano lakini si kitu cha kuweka akiliniHamtaki uhalisia.
Mnataka kubebembelezwa na Motivation speakers na maneno matamu matamu kama "See you at the top"
Kumbe ni maskini choka mbaya mko down hukoooo[emoji1][emoji1]
Nakwambia hivi [emoji116]
Si kila aliye pambana, Alifanikiwa wengine walikufa.
Hard Truth.
Waafrika hasa watanzania wanatakaga kubembelezwa na Motivation speakers kwa maneno matamu matamu kuhusu mafanikio,"For those who talk, don't know and for those that know, don't talk"
Mkuu kuna watu wamepambana hujawahi ona na bado all goes wrong, sikatai kuwa kuna sehemu inaweza ikawa bado inapwaya kwao ila kutafuta haikupi uhakika wa kupata na ndio maana kukaitwa kutafuta.
Ni kweliii lakini nadhani inategemea na mtu ameyapimaje mafanikio kwakweli, sisi tunakimbilia kujenga wahindi wala awana tabu na NHC na wanatuzidi uwekezaji na maokoto
Waafrika hasa watanzania wanatakaga kubembelezwa na Motivation speakers kwa maneno matamu matamu kuhusu mafanikio,
Wanataka wa ambiwe maneno kama
"See you at the top" kumbe ni maskini choka mbaya wako kwenye absolute poverty kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wana amini shwa kwamba " You are the boss" kumbe ni walala hoi.
Muda mwingine mpe mtu makavu kwamba yeye ni maskini, ili apate Hasira ya kupambana kufa kupona.
Kula sana mzee baba 🤣😂mkuu wewe si umetoka kusema kuna office ulipewa link ya fulani kanituma ukawa unaingia saa 3 na sasa unaenda kutembelea wafanyakazi makwao na gari za office ama nina wenge la njaa?
hahaha! sawa chiefKula sana mzee baba 🤣
Labda akisoma hii comment atabadili mtazamo wake na kuanza kilicheki life kwa jicho la tofauti.Mi nina hali ngumu ya kiuchumi, ila still naamini Nita toboa.
👉Ila yeye ana Nishangaza😃😂😃
Hasa ukiona mbele uoni future.Aisee naelewa vzr maumivu ya kuwa jobless.Mungu awafungulie milango ya riziki.maisha nyoko sana, yaani kukata tamaa kunakuja automatic hata uambiwe neno gani unaona kama bolingo tu
Tumu ombee😂😃,Labda akisoma hii comment atabadili mtazamo wake na kuanza kilicheki life kwa jicho la tofauti.
Hahahahahhahahahhahhh "No malice to anybody" hata akija na ID mpya nikiona neno "No malice" najua ni mwamba kaingia...Mzee wa no Malice nakukubali Sana ishi Sana.
Sera imesha kuwa kubwa😃😂, I mean no malice to nobodyHahahahahhahahahhahhh "No malice to anybody" hata akija na ID mpya nikiona neno "No malice" najua ni mwamba kaingia...
Cc : Intelligent businessman
Nilipeleka mzigo kwenye kampun fulan hapa dar wanipelekee tabora, gundu linaanza mzigo uko chini mwez mzima,[emoji28][emoji28][emoji28] mkuu una experience na unacho zungumza bila shaka.
Unajua mkuu maisha n magum sana ila kuna watu wanapenda kurahisisha katika upande ambao hata wao hawauishi, ni mungu tu ndo ajuaye tuyapitiayo ila hakuna mwenye moyo mgumu ambaye hakuwahi kukata Tamaa.Nilipeleka mzigo kwenye kampun fulan hapa dar wanipelekee tabora, gundu linaanza mzigo uko chini mwez mzima,
Sasa nikawafosi wakapeleka nusu, nikaenda mpaka pale kaliuwa nikaingia nayo vijijin ndanindani huko,
Siku niliyofika nimeuza sh 3500 yalikuwa ni maplastik,
Sasa nikaona hapa nimeyatimba, nikauza kwa bei yakurudisha gharama zangu lakin bado,
Akili ikanijia niende pale kaliuwa mjini niuze bei yajumla , nikayarudisha maana nilipeleka kitu ambacho hakihitajiki
Mwenyeji wangu kila nikimwambia tuzunguke wote ananiambia nitulie mpaka siku ya mnada nilipofikia
Mim na yeye tulionana siku hiyo tu
Nikafanya mpango nikayauza palee mjini kwa bei ya hasara, nikaona hii iliyopatikana ngoja nibebe asali huenda niksziba hii pancha niliyopata
Nimeenda inyonga kule katavi nimekuta asali imechachamaa bei nikachukua lita 20 tu,
Baadae nimekaa nasubir magari ya kutoka mpanda nirudi dwaswam napigiwa cm eti ule mzigo nusu wamepeleka sehem yake nijiandae nikaupokee
Iliniuma kwa sababu nilitoa taarifa baada ya huu wa kwanza kubuma huo mwingine wasiulete mpaka niwaruhusu,
ukiangalia huna mdhamin siyo kwenye kampuni wala serikalin tabu tupu hela zenyew ni zile za nusu yako nusu yakurejesha
tusiwalaumu kwa sababu maisha ni kitabu kila mtu anakurasa zakeUnajua mkuu maisha n magum sana ila kuna watu wanapenda kurahisisha katika upande ambao hata wao hawauishi, ni mungu tu ndo ajuaye tuyapitiayo ila hakuna mwenye moyo mgumu ambaye hakuwahi kukata Tamaa.
Wakati mwingine tunafungwa kwenye fikra zetu kulingana na mazingira yanayo tuzunguka mtusamehe buretusiwalaumu kwa sababu maisha ni kitabu kila mtu anakurasa zake