Ni kwa kiwango gani itawapa ahueni Trump na Republicans? Hiyo ni hoja nyingine.Kabisa
Wala siyo mapema. Kachelewa.Bora amerusha taulo mapema
Itakuwa unamjua Trump kupitia CNN na Fox NewsGood News
Sasahivi Trump atapigwa mchana kweupe
Bora Lowasa, huyu kazidi aisee... anadondoka dondoka tu .. nahisi huwa anavaa pempers maana ni lazima huwa anajinyea tuAlianza kuwa km Lowassa
😂😂😂😂😂😂😂😂Na nani?
Mfyuuu.!! Nipo kula bana acha ujinga 😹😹Bora Lowasa, huyu kazidi aisee... anadondoka dondoka tu .. nahisi huwa anavaa pempers maana ni lazima huwa anajinyea tu
Na SAMIA aige mfano mzuri wa Biden. Eti mnasemaje wadau!Joe Biden kajiondoa kugombea tena urais!!