Joe Biden amsamehe Mwanae Hunter Biden makosa yake ya Jinai

Kitendo tu Cha mtoto wa bideni kufunguliwa mashitaka ni ukomavu wa mhimili wa mahakama wa marekani.kwa Tanzania nani mwenye ubavu huo wa hata kujaribu tu kumfungulia mashitaka mtoto wa rais?
Toka lini mtuhumiwa "Suspect" akapewa msamaha? Angesubiri ahukumiwe kwanza,si alisema anaiachia Mahakama? Acha kuendeshwa na mahaba.
 
Toka lini mtuhumiwa "Suspect" akapewa msamaha? Angesubiri ahukumiwe kwanza,si alisema anaiachia Mahakama? Acha kuendeshwa na mahaba.
Marekani kuna watu kwao hata akifanyaje hana kosa watasema kwakua marekani hakuna shida ila ingekua Zimbabwe ingekua shida kuna watu vilaza sana
 
Wewe ndie ambae hujaelewa; AMEMSAME KABLA HAJAHUKUMIWA (hajasomewa adhabu) baada ya kuwa amepatikana na hatia.
Hapa kwetu Rais hawezi kumsamehe mtuhumiwa/ mhalifu ambae hajahukumiwa; hiyo itakuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Wale wanaokuwa wanasamehewa na mamlaka ya Rais wa JMT, tayari huwa ni wafungwa wanaokuwa wanatumikia adhabu zao; nao ni kwa baadhi tu ya makosa.
 
Huyo ndiye mnasemaga eti sijui dada wa demokrasia duniani na msimamizi thabiti wa haki za binadamu? Sasa kik'wapi? Mbona na wenyewe wanasigina katiba kama nchi zetu za kusadikika?
 
Kosa la madawa ya kulevya lenyewe hukuliona?
 
Hunter kahukumiwa Leo, amekubali makosa yake[pleads guilty) mahakama ikamtia hatiani(convicted)..... Huko sio kama bongo ukihukumiwa unapewa miaka ya kukaa jela hapo happy

Tarehe 13 disemba 2024 ndo mahakama ilimpangia aje kujua ni Muda pani atakaa jela.... baada ya hukumu kutoka biden nae aka counter attack kwa kumpa parole, na haki hio kikatiba anayo maana maana tayari mtoto wake Alikua convicted na mahakama Leo hii
 
Toka lini mtuhumiwa "Suspect" akapewa msamaha? Angesubiri ahukumiwe kwanza,si alisema anaiachia Mahakama? Acha kuendeshwa na mahaba.
Hunter kahukumiwa Leo na amepatikana na hatia, tarehe 13 ndo angesomewa muda wa kukaa jela..mue mnafatilia habari vizuri
 
Riz wa USA
 
Trumpet kamkosa
Amuondoe nchini sasa au atadakwa tena
 
Abdoul Khafidh Sare ya Bila kufungana bila Shaka Atakuwa anamsihi Mama yake aandae Mazingira Mana teyari ana kesi nyingi za ajabu na wakuu wanamtolea njicho.
 
Swali je ,ingekuwa na wewe ungefanyaje ? mtose mwano bahari wakati unao uwezo wakumtoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…