Joe Biden amuunga mkono Kamala Harris kuwania Urais, Marekani kupata Rais wa kwanza mwanamke?

Joe Biden amuunga mkono Kamala Harris kuwania Urais, Marekani kupata Rais wa kwanza mwanamke?

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats!

Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton?

Pia, soma=> Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Biden_Kamala.jpg
 
Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats!

Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton?

Pia, soma=> Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

View attachment 3048223
Hivi hii endorsement ya Biden Kwa Kamala Haris, maana yake nini kisiasa na kikatiba Kwa muktadha wa Marekani?
 
Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats!

Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton?

Pia, soma=> Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

View attachment 3048223
Yes! Tunamuunga mkono Camara Haris. Ndugu yangu Nyani Ngabu, achana na mbaguzi Trump, hebu tumuunge mkono Camara Haris.
 
Back
Top Bottom