Ilifahamika hivyo, Kwa kuwa sheria huanza kulindwa na mtunga sheria, sasa mtunga sheria anayepaswa azisimamie haziheshimu hizo Sheria, Iweje Kwa wengine ziwang'ate?
Kwa sasa, Kwa kuwa Marekani imeingiza Uongozi mpya, ni Sawa nchi zinazokiuka matakwa ya haki za binadamu kupigwa Pini
Ilikuwa ni Uonevu Kwa nchi zote zilizopigwa Pini na watu wake kutoingia Marekani, Kwa kuwa uvuniifu wa haki za binadamu ulifanywa pia na huyo mpiga Pini wa nchi za wengine
Hongera Rais Joe Biden Kwa kuliona hilo, tunaanza upyaaa!