Tanzania ni PERFECT. Mabeberuuuuu wanatuonea wivu tuna Mfugale FlyoverHapo umemtaja mtu mmoja tu ambaye hata ushiriki wake nao ni wa utata halafu unakuja na statement inayosema watanzania wengi.,
Huoni kuwa umedanganya hapo.
Naona umekosa facts za kussuport argument zako, umeanza kuleta vihoja.Tanzania ni PERFECT. Mabeberuuuuu wanatuonea wivu tuna Mfugale Flyover
Hapo umemtaja mtu mmoja tu ambaye hata ushiriki wake nao ni wa utata halafu unakuja na statement inayosema watanzania wengi.,
Bado haimaanishi kuwa uchaguzi ulikuwa hauna dosari.
Kumkuta mtu juu ya dari haimaanishi ni gaidi , yule dogo alikosa tu wakili mzuri angechomoka hakukua na ushahidi wowote wa kumuunganisha na hilo tukio zaidi ya kukutwa juu ya dari Bila maelezo ya kutosha...unasema yule dogo wa kiTz aliyekamatwa kwenye tukio la ugaidi Kny ushiriki wake ni wa utata?
..hebu tuhabarishe zaidi una maana gani kusema hivyo. je, unamaanisha kwamba yule kijana amesingiziwa?
Chezea. maguBado haimaanishi kuwa uchaguzi ulikuwa hauna dosari.
Vikwazo viko palepale, tatizo uelewa wako upo kiCCM zaidi.Ubongo wako umeitunza ndani ya matumbo ya akina Polepole.Mw
Mwambieni Lisu asapoti na hilo la kuondoa vikwazo
Yaani kushangilia kwenda kwenye nchi inayokubali ushoga....duuhjIlifahamika hivyo, Kwa kuwa sheria huanza kulindwa na mtunga sheria, sasa mtunga sheria anayepaswa azisimamie haziheshimu hizo Sheria, Iweje Kwa wengine ziwang'ate?
Kwa sasa, Kwa kuwa Marekani imeingiza Uongozi mpya, ni Sawa nchi zinazokiuka matakwa ya haki za binadamu kupigwa Pini
Ilikuwa ni Uonevu Kwa nchi zote zilizopigwa Pini na watu wake kutoingia Marekani, Kwa kuwa uvuniifu wa haki za binadamu ulifanywa pia na huyo mpiga Pini wa nchi za wengine
Hongera Rais Joe Biden Kwa kuliona hilo, tunaanza upyaaa!
Kama sio upumbafu uliokithili, unamuwekeaje ban mtu alieko inchini kwake eti asije kwako, kwani kwako ni ndo kuna uhaiii?? Mbona ata apamitaaanii kuna kijamaa utasikia kinasema, usije kwangu, sasa utajiuliza, kwani Mimi nakula kwake??.Kwanza iliyo ondolewa kwenye vikwazo ni ile zuio la green card na sio kwa wale walio haribu uchaguzi.. Ban iko pale pale
Kumkuta mtu juu ya dari haimaanishi ni gaidi , yule dogo alikosa tu wakili mzuri angechomoka hakukua na ushahidi wowote wa kumuunganisha na hilo tukio zaidi ya kukutwa juu ya dari Bila maelezo ya kutosha.
Vikwazo gani we we umeviona kama sio faraja kwa tundulisu na ufipa yote kwa ujumula baada ya KUGARAGAZWA??Vikwazo viko palepale, tatizo uelewa wako upo kiCCM zaidi.Ubongo wako umeitunza ndani ya matumbo ya akina Polepole.
mbona hata uchaguzi wao ulikua na dosari?Bado haimaanishi kuwa uchaguzi ulikuwa hauna dosari.
Wamkumbuke na PAUL MAKONDA aiseeSiku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania.
View attachment 1683401
View attachment 1683412
Proclamation on Ending Discriminatory Bans on Entry to The United States | The White House
The United States was built on a foundation of religious freedom and tolerance, a principle enshrined in the United States Constitution.www.whitehouse.gov
Ukimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.
Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.
Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Kwanza iliyo ondolewa kwenye vikwazo ni ile zuio la green card na sio kwa wale walio haribu uchaguzi.. Ban iko pale pale
Mkuu, kuna tatizo kubwa sana Tz. Yaani watu wameamini kabisa kuwa ndicho kilichotokea