Joe Biden aondoa vikwazo vya Viza ya bahati nasibu kwa Watanzania

Angalia huyu kiazi , uko Marekani unahisi ni peponi ... kumbe fala sana wee Jamaa Bonge la mshamba flani ivi, Kichwa nazi
 
Uzalendo sio kufuga magonjwa umejifungia bongo hakuna unachojua hiyo ya Cape Town ilikua mwaka gani kama sio zaidi ya miaka 18 iliyopita kutetea maovu aikufanyi wewe eti ni mzalendo ni kujidanganya huko nasema tena baadhi ya Watanzania wapo hapo cabregado msumbiji endelea kusubiri tamko la serikali ya msumbiji...
[/QUOTE]
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
 
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
[/QUOTE]
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
 
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
[/QUOTE]
Ubaguzi ndio msingi wenyewe wa Uzalendo.
 
Hapo umenena vyema " uelewa wa watanzania ni dhaifu sana". Wamarekani weusi wanachokidiscuss kuhusu jamii yao na afrika kwa ujumla ni tofauti kabisa na mtanzania anachokifikiria. Wamarekani weusi wako mbali sana kifikra. Nikisoma comment za watanzania wengi bado wako far behind na kwa akili hizi ni rahisi sana kua manupulated
 
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
Ubaguzi ndio msingi wenyewe wa Uzalendo.
[/QUOTE]
Poa poa Mkuu uwe siku njema Statesman...
 
Ni aibu kuona watanzania hawaoni hata mwanga kwa kinachoendelea kwa picha kubwa. Bado mtanzania anaweka ushabiki wa kisiasa kwa nchi ambayo ni colonizer. Its neither biden nor trump ana faida kwa miafrika. Ni ujinga kushabikia upande wowote wa siasa za marekani. Wamarekani weupe na serikali yao wanaishi maisha mazuri kwa nguvu kazi ya mtu mweusi aliyeko marekani na afrika. Na agenda za maraisi wote ni kutafuta mbinu za kumnyonya muafrika kiakili sana in such a way asishtuke. Trump kwetu sisi tena ilibidi tumshukuru japokua na yeye alikua walewale. Kwa bahati nzuri au mbaya trump aliwapiga pini viongozi wa afrika wanaopenda kuaafiri kuja marekani kuomba msaada na kula bata. Ilisaidia kwa sababu viongozi wengi wa afdika wanapenda rushwa na wanajifikiria wao tu. Trump aliwaambia afrika ni lazima ijitegemee na viongozi wa afrika mjikite katika kutatua matatizo ya afrika na sio kuzurura na kula bata.
 
Hivi Bashite nae vipi ban yake imeondolewa au? Nauliza tu wajameni
 
CHADEMA wanaumia!!
 
Chadema Pompeo na Trump pumbavu zao

Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa

Bado balozi wa marekani aliyepo kufungashwa virago nitafanya sherehe

Biden hoyeeeee
 
Chadema Pompeo na Trump pumbavu zao

Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa

Bado balozi wa marekani aliyepo kufungashwa virago nitafanya sherehe

Biden hoyeeeee
Mmewakubali mabeberu chini ya Biden sasa?
 
Mmewakubali mabeberu chini ya Biden sasa?
Biden hana shida na nchi zingine anataka marekani isiendekeze siasa ifanye business.Trump kaua business za USA nje kwa kuendekeza siasa za kujiunga ndio maana kaishia kuwa one term President

Kuuzia China isinunue vifaa na software za watsap android na kadhalika toka marekani ni kuua sekta binafsi

Hakuna mtu ameua sekta binafsi na kushusha faida za American corporate business abroad kama Trump na chini wake Pompeo kwa vikwazo visivyo na kichwa wala miguu

American corporate business abroad ndio wamechangia kumpiga chini Trump ndio maana hata twitter walimkatia sababu ni wajinga wa sera zake za kibwege zilizoshusha faida abroad kwa vikwazo vyake koko
 
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Mmewakubali mabeberu chini ya Biden?

Au unasema serikali ya Marekani chini ya Biden haina mabeberu?

Unaelewa kwamba Marekani imebadilisha uongozi wa juu tu, watendaji na misingi ya nchi haijabadilika?
 
Trump na Pompeii ndio walisababisha tuone marekani mabeberu

Ubeberu ni maneno na maeneo

Msimamo Wangu uko pale pale Trump na Pompeo ni mabeberu kwa maneno yao na vitendo bhai vya serikali yao na mabalozi wao lakini Biden na serikal yao mpya sio mabeberu

Narudia Trump na Pompeo na serikali yao walikuwa mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…