Naachaje kupona mkuu! nifungue medula yangu kama bomu litatua UKRANE, sisi huku itatumika mechanism gani kutufikia!Kuna jamaa mmoja apo juu anasema Africa tunaenda kua super power anafikiri yeye ataenda kupona
Ameshaua sana, ameona miaka yake ya kuishi Duaniani inafikia kikomo ngoja aangamize na wengine.Putin vita vimemshinda, akitumia nyuklia ataua watu wasiokua na hatia,
... lini Ukraine imepiga Moscow?Nilimsikia yule kamanda mkuu wa NATO akisema Nyuklia woo kani noto bi woni sasa wasiwasi wa nini
Wanampatia Ukraine makombora yenye uwezo wa kupiga Moscow halafu wategemee Putin awe kama akina Tsekedi
Marekani mbona na yeye alitumia kule Japan? Vita ilimshinda?Putin vita vimemshinda, akitumia nyuklia ataua watu wasiokua na hatia,
Kama alivyotumia us alivyozidiwa na japanMaombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu View attachment 2379391
... huwa mnatoaga mifano isiyo na kichwa wala miguu!Marekani mbona na yeye alitumia kule Japan? Vita ilimshinda?
Aaah wapiBasi wamuachie aichukue Ukraine yote ili tupone
Sio kujibu tu...Urusi itabaki majivuIkipigwa nyuklia na Urusi, Marekani ni lazima atajibu. Hii vita itaenda kubaya sana
Japo nadharia kama hizi kuaminika ni kazi sana!Hizi story za nuke huwa naonaga tu tunaogopeshana!
1. Hivi nuke inapigwa hewan alafu hewa ya sumu inasambaa dunia nzima tunakufa?
2. Kama Nuke ita haribu dunia nzima, je nini role ya Bahari zilizotenganisha mabara vs Plate Tectonics??
3. Je, destruction power ya hizo nuke, umeambiwa zinauwezo wa kuharibu Dunia yote? if that is the case, kwanini wanasema nuke zimeelekezwa sehem/nchii flani kwa sjili ya ku lunch!?
Embu tuelezee kidogo labda wengi wetu hatufahamu!
Consider earth movement through (tectonic plates?
Kwani Kuna ubaya akiitumia?Mbona US alipigwa na Japan ikabidi atumie nuclear tu kiroho Safi.Putin vita vimemshinda, akitumia nyuklia ataua watu wasiokua na hatia,
Marekani na NATO wao hata majivu hayatakuwepo kabisa.Sio kujibu tu...Urusi itabaki majivu
Hawa watu wanaichukulia hii duna kirahisi sana. Hakuna namna sote tunaweza kupotea, lazima kuna watakao survive!Japo nadharia kama hizi kuaminika ni kazi sana!
Lakini wazo la eti tutakufa dunia nzima ni mfu hakuna UKWELI wowote kwenye hilo Labda madhara ya muda mrefu hata hivyo kuna kizazi Kita evolve ambacho kitashinda madhara hayo na maisha kusonga kama kawa!
Yes, kama waislam tulivyomkemea marekani pale iraq..Sasa pia tumkee Putin pale Ukrane. kama sisi sio wanafiki.Kama marekani alivyoua watu kule iraq
Siku hizi mpk Kuna 'tactical nuclear' inaweza kupiga ndani ya radius ya 30km.Mtoto akililia Wembe apewe.Hawa watu wanaichukulia hii duna kirahisi sana. Hakuna namna sote tunaweza kupotea, lazima kuna watakao survive!
Distance itasaidia sana kuepeusha madhara kwa baadhi ya maeneo/Nchi
Nuke ishawah kupigwa Japan madhara yatakuwepo makubwa inapigwa ikipigwa HK Ukraine sisi huku hatuathiriki na chachote Mkuu.Inabidi kila mmoja aanze kujinunulia jeneza mahali alipo; likiachiwa tu, kila mmoja aingie kwenye sanduku lake, hakuna atakayepona.