Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Kuna watu mnafikiri kombola la nyuklia likipigwa basi tunakufa wote hahaa waafrica wacha tuitwe waafrica
 
Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.

---
Joe Biden has warned the world could face “Armageddon” if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.

The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.

“We have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,” he said.

“We’ve got a guy I know fairly well,” Biden said, referring to the Russian president. “He’s not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.”

Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russia’s nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range “tactical” nuclear weapon to try to stop Ukraine’s counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.

If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: “I don’t think there’s any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.”

“First time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,” the president said. “We are trying to figure out what is Putin’s off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?”

US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.

Earlier on Thursday, Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the “world will never forgive” a Russian nuclear strike.

“He understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and I’m confident of that,” Zelenskiy said.

Source: Biden warns world would face ‘Armageddon’ if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine
Nyama anasukumiziwa Zelensk anaikatikia Biden hawa mashoga kwa wivu.
 
Ngoja tuone...
Sidhani kabisa Putin atatumia Nuclear, sio mpuuzi wala sio mwoga, alikuwa KGB anajua wazi wenzake nao wana nini pia, na Marekani pia ni vigumu kutumia Nuclear kwa vita vya Ukraine. Putin atatumia njia mbadala tu kumaliza mgogoro huu, hautafika Nuclear War, hiyo ndio assessment yangu.
 
Nuclear iliopigwa japani ni ndogo mara 700 ya mabomb ya sahivi. Na bomb la nuclear likipigwa hizo nchi msidhani mtapona, kinachoua ni nuclear fallout, ambapo upepo utabeba particle ambazo ni radioactive hadi huku mnaanza kufa kwa radiation toxicity. Sasa nyie furaieni tu Kwamba wapige tu.
 
Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.

---
Joe Biden has warned the world could face “Armageddon” if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.

The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.

“We have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,” he said.

“We’ve got a guy I know fairly well,” Biden said, referring to the Russian president. “He’s not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.”

Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russia’s nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range “tactical” nuclear weapon to try to stop Ukraine’s counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.

If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: “I don’t think there’s any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.”

“First time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,” the president said. “We are trying to figure out what is Putin’s off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?”

US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.

Earlier on Thursday, Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the “world will never forgive” a Russian nuclear strike.

“He understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and I’m confident of that,” Zelenskiy said.

Source: Biden warns world would face ‘Armageddon’ if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine
Huyo anamwaga uchafu wake hapo Ukraine huku anaogopa au haiamini uchafu anaoumwaga huko🥱
 
Nuclear iliopigwa japani ni ndogo mara 700 ya mabomb ya sahivi. Na bomb la nuclear likipigwa hizo nchi msidhani mtapona, kinachoua ni nuclear fallout, ambapo upepo utabeba particle ambazo ni radio active hadi huku mnaanza kufa kwa radiation toxicity. Sasa nyie furahieni tu Kwamba wapige tu.
Uongo,siku hizi Kuna tactical nuclear inaweza kupiga eneo la radius 30km,Sasa sisi huku tutaathirikaje na nuclear hio?
 
Ili nyukilia imalize dunia yote mpaka yapigwe makombora si chini ya mia moja katika mabara tofauti tofauti

Hapa nazungumzia Yale ambayo ni most haviest kama TSAR BOMBA unafikiri dunia inaisha kirahisikwa kupigana nchi mbili
 
Ili nyukilia imalize dunia yote mpaka yapigwe makombora si chini ya miamoja katika mabara tofauti tofauti

Hapa nazungumzia Yale ambayo ni most haviest unafikiri dunia inaisha kirahisikwa kupigana nchi mbili
America tu ana mabomb 5000+
 
Hakuna jasusi mwenye mzaha,utani,masihara,uwongo..........,........time will tell
 
Labda Joe ndio Dementia inataka kumuondoa,anataka kuondoka na dunia.
Mkuu hata kama una chuki binafsi na Joe, sio yeye aliyealianzisha hili la Nuclear....
Ili nyukilia imalize dunia yote mpaka yapigwe makombora si chini ya miamoja katika mabara tofauti tofauti

Hapa nazungumzia Yale ambayo ni most haviest unafikiri dunia inaisha kirahisikwa kupigana nchi mbi
Likianza halitakua la nchi mbili kuna Washirika kila upande!
 
Back
Top Bottom