Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Biden hajui atarespond VIPI lakinilgbtmmojatandikaanajuasolutionduniainamambo
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine anapigwa tactical nuclear tu zinamtosha,hayo makubwa makubwa Ni special kwa ajili ya NATO/US vs Russia.Tatizo hawawezi Kupiga moja tu, Wataanza majibizano. Na sijasema yote ni makubwa nimeongelea kubwa kuliko yote ndio mara 700 ya lile la zamani.
Nikweli kabisa mkuu, hasa hiyo sentesi ya piliBiden hajui atarespond VIPI lakinilgbtmmojatandikaanajuasolutionduniainamambo
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Labda hapo umesema! Lakini na Ukraine akipewa tactical Nuclear mchezo utaisha vipi?Ukraine anapigwa tactical nuclear tu zinamtosha,hayo makubwa makubwa Ni special kwa ajili ya NATO/US vs Russia.
Mkuu ni pande zote, hata Urusi ili iangamie labda makombora yote ya US! Ndio maana nasema hakuna mwehu wa hivyo! Sio Biden sio Putin🤣🤣🤣🤣🤣naona mnatishana eti dunia inazama acheni uvivu nendeni mfanye kazi mjenge dunia hiyo nuke haiwezi maliza dunia USA yenyewe labda iangushiwe makombora yote anayo miliki Russia na North Korea.
Kwanza wakumpa hayupo Maana wanajua Ulaya na USA zitakachokipata, missile za masafa marefu tu wanajishauri kumpa ije kua hizo nuclear? Impossible.Labda hapo umesema! Lakini na Ukraine akipewa tactical Nuclear mchezo utaisha vipi?
Watu wanalishwaga matango, wanashindwa hata kufikiria katika hali ya kawaida, namna dunia ilivyo.🤣🤣🤣🤣🤣naona mnatishana eti dunia inazama acheni uvivu nendeni mfanye kazi mjenge dunia hiyo nuke haiwezi maliza dunia USA yenyewe labda iangushiwe makombora yote anayo miliki Russia na North Korea.
Ipi Sasa hapo mzee?Wakupuliza, naona sasa ni chuki binafsi...
Ina maana US ndiye aliyeivamia Ukraine na kumega ardhi yake ?Kama huyo US anaijali sana Dunia then atoe matako yake Pale Ukraine ili ugomvi usiendelee maana huu ugomvi chanzo ni yeye.
ndio hata Russia anajua siku atapiga kombora la kwanza kupiga US nae ataanza sukumiwa labda ajifariji kwa kuipiga Ukraine ili kuwatia NATO jamba ila sio kupiga USA au mshirika yeyote wa NATOMkuu ni pande zote, hata Urusi ili iangamie labda makombora yote ya US! Ndio maana nasema hakuna mwehu wa hivyo! Sio Biden sio Putin
Why unasema impossible? Uje na scenario zote mkuu! Unadhani Putin anasema "impossible" ?Kwanza wakumpa hayupo Maana wanajua Ulaya na USA zitakachokipata, missile za masafa marefu tu wanajishauri kumpa ije kua hizo nuclear? Impossible.
Kumbe hujui USA Japan ninmajirani haha we boya sanaKwanj Marekani imepakana na Japan kiasi kwamba alikuwa na hofu ya kuua watu wake? Russia na Ukraine wamepakana,unaongea scenario mbili tofauti kabisa.
Hebu tuwekee hapa idadi ya makombora ya nuclear iliyonayo NATO vs Russia mkuu.ndio hata Russia anajua siku atapiga kombora la kwanza kupiga US nae ataanza sukumiwa labda ajifariji kwa kuipiga Ukraine ili kuwatia NATO jamba ila sio kupiga USA au mshirika yeyote wa NATO
Hakuna anayejua ya mwenziye 100% ni guess work! Hata unayoyajua ni vigumu kuyaangamiza yote kwa wakati mmoja!Hebu tuwekee hapa idadi ya makombora ya nuclear iliyonayo NATO vs Russia mkuu.
Nikuulize swali,kwa hio inawezekana pia huko sehemu nyingine duniani ambako US anapigana pia Russia ikawapa nuclear bombs hao maadaui wa US ili waweze kuishambulia ardhi ya US?Why unasema impossible? Uje na scenario zote mkuu! Unadhani Putin anasema "impossible" ?
Tuwekee hio guess work hapa mkuu,tuache longolongo nyingi.Hakuna anayejua ya mwenziye 100% ni guess work! Hata unayoyajua ni vigumu kuyaangamiza yote kwa wakati mmoja!
mkuu tambua nchi nyingi zinajiendesha kupitia propaganda na vitisho kwa maadui zake hakuna nchi itataka siri zake ziwe bayana hasa umiliki wa silaha mkuu vita ndio kipimo hasa.. hata hizo nuke naona ni kama zinatumika kwa vitisho zaidi...Hebu tuwekee hapa idadi ya makombora ya nuclear iliyonayo NATO vs Russia mkuu.
Hatujui scenario ya real war? Hatujui hata sasa vita hii itachukua direction gani kama ilivyokua Second World War Mkuu?Nikuulize swali,kwa hio inawezekana pia huko sehemu nyingine duniani ambako US anapigana pia Russia ikawapa nuclear bombs waweze kuishambulia ardhi ya US?
Mkuu unadhani Google inaweza kukupa real assessment ya nuclear arsenals! Tutakuwa wote vilaza kuamini data hizo!Tuwekee hio guess work hapa mkuu,tuache longolongo nyingi.