Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Wanaona watu ni wajinga sana
Wao wanakubali nani atengeneze nuclear na nani asiwe nayo na hapo hapo wanataka yasitumike

America wanajua fika watakaoanziwa ni wao maana wamezidi kiherehere ingawa wanajua ukweli mataifa mengi washiriki wa Russian wana silaha za maangamizi

Kama namuona Kiduku anavyochekelea
Hii kama ni vita naona Dunia imefika mwisho ila wazungu wanataka kusogeza mbele tuishi hata miaka 1000 mingine ila ndio hivyo tena binadamu tunapanga lakini linakuja tofauti
 
... huwa mnatoaga mifano isiyo na kichwa wala miguu!

Unachotuambia ni kwamba Marekani iliivamia Japan, ikamega ardhi yake, ikaua wajapan, ikaharibu miundombinu ya Japan, Japan ikaomba msaada wa kimataifa, baada ya kupata misaada Japan ikafanikiwa kukomboa ardhi yake iliyoporwa kimabavu na Marekani then Marekani kuona hivyo ikaipiga Japan kwa nyuklia!

Mnapenda sana kufananisha visivyofananishika! Kajisomee ujue case ya Japan ilikuwaje na ni kwanini nyukilia ilitumika.
Wee ni bwenga mzee
 
Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.

---
Joe Biden has warned the world could face “Armageddon” if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.

The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.

“We have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,” he said.

“We’ve got a guy I know fairly well,” Biden said, referring to the Russian president. “He’s not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.”

Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russia’s nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range “tactical” nuclear weapon to try to stop Ukraine’s counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.

If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: “I don’t think there’s any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.”

“First time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,” the president said. “We are trying to figure out what is Putin’s off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?”

US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.

Earlier on Thursday, Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the “world will never forgive” a Russian nuclear strike.

“He understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and I’m confident of that,” Zelenskiy said.

Source: Biden warns world would face ‘Armageddon’ if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine

And huwa hawaropokagi hawa aisee
 
Story zote humu khs Ukraine vs Russia hua tunajadili kwa kutumia source zipi?
Kila upande una pick sources zake! Ndio maana zangu zinaweza kuwa kwako ni propaganda za west! Na zako pia nikaziita propaganda! Most of us are biased! Hata tukiwa na source moja tutatoa interpretation tofauti! Wote tunaweza kumsikia Biden/ Putin, kila mtu akasema lake! Kunasahau kwamba hata anachosema Putin au Biden kimeishachujwa for public consumption!
 
Kila upande una pick sources zake! Ndio maana zangu zinaweza kuwa kwako ni propaganda za west! Na zako pia nikaziita propaganda! Most of us are biased! Hata tukiwa na source moja tutatoa interpretation tofauti! Wote tunaweza kumsikia Biden/ Putin, kila mtu akasema lake! Kunasahau kwamba hata anachosema Putin au Biden kimeishachujwa for public consumption!
Basi tuendelee kujadili Propaganda tu,maana hakuna namna tena.
 
Hapo umezungumza!
Mkuu sisi wote depending uko kwenye side ipi information ni zile zile! Wote tunajua propaganda! Iwe toka Marekani au Russia! Uzuri mmoja wa US hata TV zao, huwa tunajua nani anataka Vita nani anapinga! Vita hii hii Fox anasema chake, CNN anasema chake! FOX mara nyingi analeta military analysts wanaotaka Vita! Lakini vyombe vingine sio! Vyombo vya West vina interest tofauti vyenyewe!
Wote tunajua vyombo vya habari vya Urusi ni lazima viwe aligned na serikali! Serikali inataka nini wasikie!
Hivyo mkuu hizi ndio sources zetu humu ndani!
 
Balaa tupu marekani kamwongezea nguvu Ukraine sasa putin anashindwa, anaona bora wote wakose
Mkuu, hata kama mimi ndio ningekuwa Rais yaaani nchi zaidi ya 30 zinapigana na mimi na nina silaha za maana, kwanini nisiilinde nchi yangu. Nukes are weapons of last resort.
 
Mkuu sisi wote depending uko kwenye side ipi information ni zile zile! Wote tunajua propaganda! Iwe toka Marekani au Russia! Uzuri mmoja wa US hata TV zao, huwa tunajua nani anataka Vita nani anapinga! Vita hii hii Fox anasema chake, CNN anasema chake! FOX mara nyingi analeta military analysts wanaotaka Vita! Lakini vyombe vingine sio! Vyombo vya West vina interest tofauti vyenyewe!
Wote tunajua vyombo vya habari vya Urusi ni lazima viwe aligned na serikali! Serikali inataka nini wasikie!
Hivyo mkuu hizi ndio sources zetu humu ndani!


Sasa ukimhoji Bolton unataka nini.
Yeye toka huko nyuma ni mtu wa Vita tu! Hakutaka hata uko nyuma Trump akutane na kiduku! Kuna watu kama hawa Marekani! Lakini sio wote!
 
Back
Top Bottom