Mara ya mwisho Marekani kushinda vita akiwa peke yake ilikua Ni lini?Marekani hainaga adui wa peke yake... Maadui wa Marekani ni maadui wa Ulaya... Lakini kwenye nguvu za jeshi wako vyema wale jamaa
Yaani inawezekana hata hyo aliyefanya mashambulizi amepekekwa na mmarekani ili wapate sababu ya kumpiga mlengwa wao USA mjanja sana.
Ni lazima aende kuhakikisha Israel inakua na usalama wa kutosha kile kichapo kutoka Hamas sio cha mchezo.
Na kwanini apigane peke yake wakati ana washirika wengi?Mara ya mwisho Marekani kushinda vita akiwa peke yake ilikua Ni lini?
Marekani hainaga adui wa peke yake... Maadui wa Marekani ni maadui wa Ulaya... Lakini kwenye nguvu za jeshi wako vyema wale
Allah akbarMara ya mwisho Marekani kushinda vita akiwa peke yake ilikua Ni lini?
Na anaependelea Palestina anaitwa nani?Ukimuona user anapendelea Israel huyo ni kafiri tu
Bila shaka bajeti inategemea na umbali wa safar+mazingira ya nchi husika na si fixed km ulivyotanabaishaKwa hiyo Tsh 500 billion+ zinaenda kuteketea, safar moja ya rais wa USA gharama yake ni hiyo[emoji53]
Kituo kinachofuata ni IraniYaani inawezekana hata hyo aliyefanya mashambulizi amepekekwa na mmarekani ili wapate sababu ya kumpiga mlengwa wao USA mjanja sana.
MkomboziNa anaependelea Palestina anaitwa nani?
Hahaha Hamas iliposhambulia Israel mlishangilia sana, sikuona maandamano wala malalamiko. Na Hmas walitoka hadharani wakasema wamejiandaa kwa vita ya muda mrefu, sha,bulio lile walilipanga muda mrefu na walifanikiwa kwa kiasi, ingawa sivyo walivyotaka iwe, walipanga kuiteketeza Israel. Waarabu wa BUZA mlishangilia mkasema Israel ina pigika. Sasa Hivi visingizio vya nini?Yaani inawezekana hata hyo aliyefanya mashambulizi amepekekwa na mmarekani ili wapate sababu ya kumpiga mlengwa wao USA mjanja sana.