Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mwenzio ana juzuu 9Wewe unayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio ana juzuu 9Wewe unayo?
Kwann jina la Chuo kapuniWewe unayo?
Georgia University hakuna siri.Nguli katika Ujasiriamali na ushauri wa Maisha duniani. Ametunukiwa Doctorate kutoka Chuo Kikuu (jina Kapuni) kwa kazi alizofanya nchini na duniani. Asanteni.
**New Dr in town
Mwndishi kakurupuka sana inaonekana hana habari kamili. Hiyo picha mwenyewe Joel kaiweka kwenye page yake ya fb. Mwandishi wa sredi kaichukua n kuruka nayo ili awe wa kwanza kuandika humu 😆😆😆Kwann jina la Chuo kapuni
Hajawahi kuwa T.O huwa anawadanganya watu. Alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri mwaka 2002 ila T.O alikuwa Mwizarubi.Jamaa nasikia amewahi kiwa TO. Hicho cha kuongelea mafanikio na malengo ndio ilikuwa njozi yake au ni vitu alivyokutananavyo ukubwani?
Nguli katika Ujasiriamali na ushauri wa Maisha duniani. Ametunukiwa Doctorate kutoka Chuo Kikuu (jina Kapuni) kwa kazi alizofanya nchini na duniani. Asanteni.
**New Dr in town
Hajawahi kuwa T.O huwa anawadanganya watu. Alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri mwaka 2002 ila T.O alikuwa Mwizarubi.
Jina lake la kwanza limenitoka ila ni kutoka Arusha. Baba yake ni mchungaji huko Arusha mwenye kanisa.Mwizarubi yupi vile?
Mwizarubi yupo Halmashauri gani?Hajawahi kuwa T.O huwa anawadanganya watu. Alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri mwaka 2002 ila T.O alikuwa Mwizarubi.
Sijui. Lakini pia yeye kuwa halmashauri sio rahisi. Mara ya mwisho niliona ametia nia ubunge wa Arusha mjini CCM.Mwizarubi yupo Halmashauri gani?
unaleta utani kwenye mambo muhimu.Kuna tetesi kidogo amrithi Kinana kipindi kile
Unaona ni utani kwa sababu hufatilii mambo ni heri ungetulia.unaleta utani kwenye mambo muhimu.
kwenye siasa joel bado si mpevu wa siasa za ccm, kina makonda na vijana wengine wenye kujua mbilinge za chama hicho wanaweza kumrithi kinana kama si wazee wakongwe kina wasira na pindaUnaona ni utani kwa sababu hufatilii mambo ni heri ungetulia.
Tetesi: - Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM
I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara). II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na...www.jamiiforums.com
Wanafanana dental formulaeKuna tetesi kidogo amrithi Kinana kipindi kile
Kivipi?Wanafanana dental formulae