Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).
II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?