Tetesi: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM

Tetesi: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).

II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.

Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?

download (21).jpeg
 
I. Tanzania One (TO) mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka, anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama.

II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi na speeches pia kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Anapoingia tu sisiemu aelewe nimarufuku kutumia akili😄😄😄
 

Attachments

  • -vbxhui.jpg
    -vbxhui.jpg
    180 KB · Views: 11
I. Tanzania One (TO) mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka, anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama.

II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi na speeches pia kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Who the fk is he, jina lake ni geni hapa nchini
 
I. Tanzania One (TO) mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka, anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama.

II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi na speeches pia kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Pole sana chawa, kwanza hana phd so acha kumuita dr, and kaka joel ni mtu mwema sana, hawez jiingiza kwenye mambo kama hayo
 
I. Tanzania One (TO) mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka, anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama.

II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi na speeches pia kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Hata kama maccm yamekosa watu yameshindwa kumuweka hata mwashamba mpaka yakachukue mamluki
 
Back
Top Bottom