Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #61
Ndio utaratibukumrithi bila kuomba na kujaza fomu 😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio utaratibukumrithi bila kuomba na kujaza fomu 😏
Utaratibu mbovu na uliopitwa na wakatiNdio utaratibu
Kwenda zako uko. Mnapigia campaign wapigaji tu.I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka (PhD), anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).
II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
... and a wastage of cyberspaceJoke of the century
ni geni kwako p*mb*vu weweWho the fk is he, jina lake ni geni hapa nchini
Watoto wa 2000 haoni geni kwako p*mb*vu wewe
Hivi kwani alitoka lini CDM huyu jamaa!!!Mimi navutiwa sana na Joel Nanauka.
kitamboHivi kwani alitoka lini CDM huyu jamaa!!!
Kafilrw£ni geni kwako p*mb*vu wewe
JiheshimuWatoto wa 2000 hao
Alikuwa mwanacdm kumbe ?Hivi kwani alitoka lini CDM huyu jamaa!!!
Ndio, nadhani wakati huo akigombea huko masasi,kupitia CDM.Alikuwa mwanacdm kumbe ?
Hii ramli imeangukia pua.I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).
II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
View attachment 3125232