Tetesi: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM

Tetesi: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM

I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka (PhD), anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).

II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.

Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Kwenda zako uko. Mnapigia campaign wapigaji tu.
 
I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).

II. Hii ni kutokana na CV ya Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.

Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?

View attachment 3125232
Hii ramli imeangukia pua.
 
Back
Top Bottom