MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Kunani kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann broHaya maisha yana safari ndefu
Alijikita kwenye siasa za CCM na CHADEMA lakini isivyo bahati hakufikia malengo, akaona abadili uelekeo ajikite upande mwingine wa kuwa mwandishi wa vitabu na mhamasishaji wa masuala ya maisha kwa ujumla ambako anafanya vizuri sana.Kwann bro
Basi kama anafanya vizuri na anasaidia watanzania imekaa vizuri, kila mtu ana talanta yake aliyoandikiwa..ingawa naona bado anapenda siasaAlijikita kwenye siasa za CCM na CHADEMA lakini isivyo bahati hakufikia malengo, akaona abadili uelekeo ajikite upande mwingine wa kuwa mwandishi wa vitabu na mhamasishaji wa masuala ya maisha kwa ujumla ambako anafanya vizuri sana.
Siasa anaipenda ila inaonesha hajapata upenyo wa kufikia malengo na ndoto zake katika uwanja huo.Basi kama anafanya vizuri na anasaidia watanzania imekaa vizuri, kila mtu ana talanta yake aliyoandikiwa..ingawa naona bado anapenda siasa
OK that's great... Je ni kweli anacopy vitabu vya mabeberu na kuvitafsiri kama mdau alivyodai hapo juu?Siasa anaipenda ila inaonesha hajapata upenyo wa kufikia malengo na ndoto zake katika uwanja huo.
Mungu alimtunuku talanta ya weledi, maarifa na uwezo mkubwa wa akili asilia ambao umechagiza kuihudumia vema jamii kupitia maandiko na maneno yake.
Amefanyika chachu ya kuhamasisha wengi hususani vijana kwa kuwapa njia mbadala za kufikia malengo yao na kupata nuru na tumaini jipya la kusonga mbele.
Kwa hilo sijui.OK that's great... Je ni kweli anacopy vitabu vya mabeberu na kuvitafsiri kama mdau alivyodai hapo juu?
Kazi za kitaaluma ni sahihi but ye kazi anazozifanya ni za kitaaluma? Which professional?Kwa hilo sijui.
Ila tukumbuke, kwenye uwanja wa elimu, hakuna mwenye kazi ya kitaaluma isiyotegemea mawazo ya wengine.
Kwamba Joel ni Afisa Kipenyo?Kipenyo kama wa masasi alitoka cdm akaenda ccm
Sina uhakika wa professional ingawa anajikita zaidi kwenyemasuala ya uongozi, mahusiano, elimu ya fedha na mambo mengine yanayofanana na hayo.Kazi za kitaaluma ni sahihi but ye kazi anazozifanya ni za kitaaluma? Which professional?
......................Kwamba Joel ni Afisa Kipenyo?
Jiongeze. ..Kwamba Joel ni Afisa Kipenyo?