uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Hapo ni anafungiwa kuendesha gari tuMchezaji wa newcastle united ya uingereza,raia wa Brazil amekutwa na hatia ya kuendesha gari akiwa amelewa chakari yeye na mrembo aliyeonekana ni km bidhaa...
Mchezaji wa newcastle united ya uingereza,raia wa Brazil amekutwa na hatia ya kuendesha gari akiwa amelewa chakari yeye na mrembo aliyeonekana ni km bidhaa...
Amewaabisha wewe na nani?Mchezaji wa newcastle united ya uingereza,raia wa Brazil amekutwa na hatia ya kuendesha gari akiwa amelewa chakari yeye na mrembo aliyeonekana ni km bidhaa..
Hawezi fukuzwa. Benjamin Mendy wa Manchester City ana kesi ya ubakaji wanawake 7 lakini hajafukuzwa kwenye team. Sembuse kulewa tena hata ajali ajasababisha hapo ni fine tu na onyoMchezaji wa newcastle united ya uingereza, raia wa Brazil amekutwa na hatia ya kuendesha gari akiwa amelewa chakari yeye na mrembo aliyeonekana ni kama bidhaa....
Kuna taarifa jamaa kapangua kesi zote.Hawezi fukuzwa. Benjamin Mendy wa Manchester City ana kesi ya ubakaji wanawake 7 lakini hajafukuzwa kwenye team. Sembuse kulewa tena hata ajali ajasababisha hapo ni fine tu na onyo
Kamchululia demu wake wa kizungu anaemuonaga kwa tv.Amekuangusha kivipi Mkuu?
KyaibumbaMbona wabeba maboksi wanaendesha wakiwa wamelewa kila siku