ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Tumeona Jana aina ya soka ya england inavyoshindwa kutamba mbele ya style ya mchezo wa ajax ambao ndio hasa wanacheza aina ya Mpira wa Barcelona.
Kwa walivyosumbuka Spurs ndivyo ndugu zao watakavyo sumbuka Leo
Na hapo ndiyo tunaendelea kuthibitisha kuwa EPL sio ligi bora duniani
Tuanze tu kuiweka vichwani fainali ya Mei 19 kuwa ni Ajax vs Barcelona.
Kwa walivyosumbuka Spurs ndivyo ndugu zao watakavyo sumbuka Leo
Na hapo ndiyo tunaendelea kuthibitisha kuwa EPL sio ligi bora duniani
Tuanze tu kuiweka vichwani fainali ya Mei 19 kuwa ni Ajax vs Barcelona.