Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

[emoji23][emoji23] mkuu,mie nakwambia liverpool out,poleni.
Hawa mashabiki wa liver wanashda gan? Yaan bado wanamatumaini kuendelea final? Shida iliyopo n kwamba liver Hana uwezo wa kuizuia Barca isipate goli hyo haiwezekan kabsaaa Barca kutoka bila goli hvyo hata iweje liver hawezi kuitoa Barca nimemaliza. MWENGE HAUVUKI KIJIJI SPAIN KWENYE SWALA LA UEFA NI HABARI NYINGINE
 
Wengi wanahisi Barca ni ileile ya kina Xavi Iniesta, Ukweli ni kwamba Barca ya sasa ya kawaida sana na Liverpool ana uwezo wa kuifunga vizuri. Hii Barca ya sasa ni Messi tu.

N. B. :
USIBISHANE NA MIMI KAMA HUWA UNAANGALIA EL CLASSICO TU.

3-0

SUAREZ 1
MESSI 1
MESSI 1 FREEKICK


Kama alivyoahidi King, Makombe yote yanarudi nyumbani....je una jipya kamanda?
 
Wewe unaujua mpira vyema na ulisema ukweli kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…